Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,395
- 3,899
TUNDU LISSU akae chini atulize kichwa ajiulize kuwa kwa nini chama hakimpi heshima anayoistahili ya kupita bila kupingwa?
Chama kinajua ukweli kuwa Tundu Lissu amepoteza sifa za kuomba ridhaa ya kuchaguliwa nafasi yoyote ya kisiasa kwa kukiaka masharti ya watumishi wa umma baada ya kuvuliwa nafasi ya Ubunge.
Lissu ni mwanasheria mzuri anaujua ukweli ila anataka kulazimisha kinyume na utaratibu ili ionekane kwamba ameonewa ili hali anajuaa wazi kuwa hawezi kuwa mgombea kwa miaka hii mitano.
CHADEMA wanashindwa kumwambia Lissu ukweli kwamba ameshapoteza sifa za kugombea nafasi yoyote ya kisiasa Tanzania.
CHADEMA wangekuwa hawana hvy vizingiti Tundu Lisu angekuwa mwenyewe.
Kingine Tundu Lisu ana kesi nyingi zinazomkabili ukizingatia kuwa tarehe 26/08/2020 ana kesi ina msubiri mahakamani.
Vyote hivi vikwazo vinawapa shida sn CHADEMA kuamua hatima ya ugombea wa Lisu wakicheza wanaweza kukosa mgombea kabisa wanaweza wakalichukulia poa hili jambo lakini ndivyo ilivyo.
Lakini pia kuna habari za chini ya kapeti zinazoonyesha kuwa wale mabwenyenye wa wa Chama hawamtaki Lisu kwa aina ya siasa zake zenye msimamo mkali.
Tundu Lissu atulize akili sana ajiandae kwa lolote.
Chama kinajua ukweli kuwa Tundu Lissu amepoteza sifa za kuomba ridhaa ya kuchaguliwa nafasi yoyote ya kisiasa kwa kukiaka masharti ya watumishi wa umma baada ya kuvuliwa nafasi ya Ubunge.
Lissu ni mwanasheria mzuri anaujua ukweli ila anataka kulazimisha kinyume na utaratibu ili ionekane kwamba ameonewa ili hali anajuaa wazi kuwa hawezi kuwa mgombea kwa miaka hii mitano.
CHADEMA wanashindwa kumwambia Lissu ukweli kwamba ameshapoteza sifa za kugombea nafasi yoyote ya kisiasa Tanzania.
CHADEMA wangekuwa hawana hvy vizingiti Tundu Lisu angekuwa mwenyewe.
Kingine Tundu Lisu ana kesi nyingi zinazomkabili ukizingatia kuwa tarehe 26/08/2020 ana kesi ina msubiri mahakamani.
Vyote hivi vikwazo vinawapa shida sn CHADEMA kuamua hatima ya ugombea wa Lisu wakicheza wanaweza kukosa mgombea kabisa wanaweza wakalichukulia poa hili jambo lakini ndivyo ilivyo.
Lakini pia kuna habari za chini ya kapeti zinazoonyesha kuwa wale mabwenyenye wa wa Chama hawamtaki Lisu kwa aina ya siasa zake zenye msimamo mkali.
Tundu Lissu atulize akili sana ajiandae kwa lolote.