Elections 2015 Tundu Lissu: Edward Lowassa ndiye mgombea urais wa CHADEMA na UKAWA

hawa CHADEMA walikuwa wanamtukana Lowassa bila kujua ukweli wote. na hawakukosea, watu wangesema wajue ukweli wote ndiyo waanze kusema hakuna kashfa hata moja ingeibuliwa. lowassa katoka na katuambia mwizi wetu ni nani hakuna haja ya kumsakama tena. wanaopinga lowassa kuingia CHADEMA, kwanza hawajui siasa kwa kuruhusu emotional na personal ishu zicloud maamuzi yao. pili ni wale wanaangalia CCM NA upinzani kwa mtazamo wa simba na yanga, ni mashabiki wa siasa.
 
Lowassa kashaibadilisha Chadema.
1. Kabadilisha ratiba yao ya uchaguzi.
2. Kabadilisha mgombea wao. Dr. Slaa anakatwa kwa sababu ya Lowassa.
3. Kabadilisha bajeti yao ya uchaguzi.
4. Kabadilisha kauli zao kuhusu ufisadi.
5. Kabadilisha ilani yao ya uchaguzi.
Sasa tujiulize, nani anayebadili mwenzie? Chadema itambadili Lowassa au Lowassa anaibadili Chadema?
Lowassa yuko kwenye siasa muda mrefu kuliko umri wa Chadema. Kuamini kuwa Lowassa atabadilika ghafla ni kujidanganya kulikopitiliza.
Mpaka sasa Chadema haijabadili chochote kwa Lowassa, yeye ndio anawabadili.
Chadema badala ya kuleta mabadiliko, yenyewe ndio inabadilishwa... (Stolen somewhere)
mbona nyie maccm mnatoka povu jiwe mlilolikataa sasa limekuwa jiwe kuu la msingi
ni rahisi kumbadilisha mwovu mmoja ailyeingia ktk kundi la watakatifu lakini ni ngumu sana mtakatifu mmoja kubadilisha kundi la waovu mafisadi na Mal aya ila yeye ndo atabadilishwa kwani wao ndio waliomweka hapo
 
Mbinu waliyoitumia chadema ni mbaya na chafu, kama lengo ni kuing'oa ccm halafu wao washike usukani wa ufisadi sawa. Ukweli utajisimamia. Hata kama viongozi wakajaribu kupamba maneno ukweli utabaki palepale.

Kinachotafutwa na Ukawa/Chadema ni kuifanya CCM kuwa chama cha Upinzani, Lowasa ana influence kubwa ya kusababisha CCM kuwa chama cha Upinzani, hivyo basi aijalishi kama aliyekua na tuhuma za ufisadi atatumika kuuondoa mfumo Fisadi wa CCM, nakupa mfano: jambazi aliekubali kushirikiana na Polisi katika kuutokomeza ujambazi urahisisha sana kazi kwa Polisi, napata shida kuamini kama jambazi huyo ataurudia ujambazi tena.
 
Hatari: unaingiza nyoka shambani mwako ili aweze kumaliza tatizo la panya. Kwa muda, unafanikiwa maana panya wanaisha lakini nyoka lazima aendelee kupata mlo. Anahamia kwa kuku wako. Wanaisha. Baadaye unaanza kumwona ni adui naye analitambua hilo.
Hatari? Inabidi akugonge wewe ili kujihami!
 
Hatari: unaingiza nyoka shambani mwako ili aweze kumaliza tatizo la panya. Kwa muda, unafanikiwa maana panya wanaisha lakini nyoka lazima aendelee kupata mlo. Anahamia kwa kuku wako. Wanaisha. Baadaye unaanza kumwona ni adui naye analitambua hilo.
Hatari? Inabidi akugonge wewe ili kujihami!

Kwa mfano wako iweke hivi: naingiza njoka shambani amalize njoka, kitu ambacho hakiwezekani hivyo mfano wako si sahihi, mbona logic yenyewe ni rahisi sana, AU ndio kujifanya hutaki kuelewa?
 
Vita vya Iraq, Marekani na washirika wenzake walikuwa wamepania kumtoa Sadam, na kweli walifanikiwa, lakini hawakuwa na plan ya maana juu ya Iraq baada ya kumuondoa Sadama, nini kimetokea Iraq? Vivyo hivyo Libya, nini kimetokea baada ya kumuua Gadaffi?

Turudi Tanzania, kwa miaka 20 sasa CHADEMA wamekuwa wanatueleza jinsi ufisadi unavyotuangamiza. Na ni miaka 7 saba tangu Dr Slaa ataje majina ya watu aliowaita vinara wa ufisadi. Leo hii wanatuambia kuwa wanataka kuondoa CCM kwa sababu ndiyo imelea ufisadi, lakini hapo hapo wanaanza kusajili watu wale wale waliowaita vinara wa ufisadi kutoka chama kile kile wanachokiita cha mafisadi. Tena wanasijili walioawaita vinara wa ufisadi. Hivi CHADEMA wana mpango gani ni hii nchi baada ya kuiondoa CCM? Post Sadam era or Post Gadaffi style?

Jambo la pili, Watanzania tuendelee kuamini kuwa CHADEMA wanaweza kuwamudu 'vinara wa ufisadi? Nasema hivyo kwa sababu, ndani ya wiki mbili, Lowassa ameweza kubalisha karibu kila kitu cha CHADEMA, amebadili mgombea, amebadili misingi ya waliyokuwa wanajivunia (anti ufisadi) na mbaya zaidi hata ndimi za viongozi wa CHADEMA kazibadilisha, sasa hivi wanamuita mtu shupavu, kiongozi safi! Kama amefanikiwa hayo ndani ya wiki mbili tu, kwanini tusiamini Lowassa atawapigisha deki na kuwapangia zamu ya kuosha vyombo hao CHADEMA?

Kaka acha mbwembwe, mfano unaofit hapa ni kenya, zambia na hata south africa kidogo inakuja, acha kutisha watu ili kutetea kitumbua, wakati wa kuitoa ccm ni ss na kuanzia mwaka huu ndo mwisho wa chama au watu fulani kujipa hati miliki.
 
CDM wameeleza wazi. Lengo ni kumtumia EL kufanikisha malengo yao. Kubwa ni kupata idadi kubwa ya wabunge. Lakini naye EL kaingia pale kwa manufaa yake binafsi. Nani atafanikisha lengo lake?
 
Vita vya Iraq, Marekani na washirika wenzake walikuwa wamepania kumtoa Sadam, na kweli walifanikiwa, lakini hawakuwa na plan ya maana juu ya Iraq baada ya kumuondoa Sadama, nini kimetokea Iraq? Vivyo hivyo Libya, nini kimetokea baada ya kumuua Gadaffi?

Turudi Tanzania, kwa miaka 20 sasa CHADEMA wamekuwa wanatueleza jinsi ufisadi unavyotuangamiza. Na ni miaka 7 saba tangu Dr Slaa ataje majina ya watu aliowaita vinara wa ufisadi. Leo hii wanatuambia kuwa wanataka kuondoa CCM kwa sababu ndiyo imelea ufisadi, lakini hapo hapo wanaanza kusajili watu wale wale waliowaita vinara wa ufisadi kutoka chama kile kile wanachokiita cha mafisadi. Tena wanasijili walioawaita vinara wa ufisadi. Hivi CHADEMA wana mpango gani ni hii nchi baada ya kuiondoa CCM? Post Sadam era or Post Gadaffi style?

Jambo la pili, Watanzania tuendelee kuamini kuwa CHADEMA wanaweza kuwamudu 'vinara wa ufisadi? Nasema hivyo kwa sababu, ndani ya wiki mbili, Lowassa ameweza kubalisha karibu kila kitu cha CHADEMA, amebadili mgombea, amebadili misingi ya waliyokuwa wanajivunia (anti ufisadi) na mbaya zaidi hata ndimi za viongozi wa CHADEMA kazibadilisha, sasa hivi wanamuita mtu shupavu, kiongozi safi! Kama amefanikiwa hayo ndani ya wiki mbili tu, kwanini tusiamini Lowassa atawapigisha deki na kuwapangia zamu ya kuosha vyombo hao CHADEMA?

Ww unajielewa mkuu
 
ivi inawezekana kutumia nyongo ya mamba kumuua kenge? kama inawezekana basi lowasa ndo nyongo ya mamba na ccm lazima ife ukubali ukatae ukweli ndo huo
 
Vita vya Iraq, Marekani na washirika wenzake walikuwa wamepania kumtoa Sadam, na kweli walifanikiwa, lakini hawakuwa na plan ya maana juu ya Iraq baada ya kumuondoa Sadama, nini kimetokea Iraq? Vivyo hivyo Libya, nini kimetokea baada ya kumuua Gadaffi?

Turudi Tanzania, kwa miaka 20 sasa CHADEMA wamekuwa wanatueleza jinsi ufisadi unavyotuangamiza. Na ni miaka 7 saba tangu Dr Slaa ataje majina ya watu aliowaita vinara wa ufisadi. Leo hii wanatuambia kuwa wanataka kuondoa CCM kwa sababu ndiyo imelea ufisadi, lakini hapo hapo wanaanza kusajili watu wale wale waliowaita vinara wa ufisadi kutoka chama kile kile wanachokiita cha mafisadi. Tena wanasijili walioawaita vinara wa ufisadi. Hivi CHADEMA wana mpango gani ni hii nchi baada ya kuiondoa CCM? Post Sadam era or Post Gadaffi style?

Jambo la pili, Watanzania tuendelee kuamini kuwa CHADEMA wanaweza kuwamudu 'vinara wa ufisadi? Nasema hivyo kwa sababu, ndani ya wiki mbili, Lowassa ameweza kubalisha karibu kila kitu cha CHADEMA, amebadili mgombea, amebadili misingi ya waliyokuwa wanajivunia (anti ufisadi) na mbaya zaidi hata ndimi za viongozi wa CHADEMA kazibadilisha, sasa hivi wanamuita mtu shupavu, kiongozi safi! Kama amefanikiwa hayo ndani ya wiki mbili tu, kwanini tusiamini Lowassa atawapigisha deki na kuwapangia zamu ya kuosha vyombo hao CHADEMA?

tena madini tema madini mkuuu, well saidi, tuliambiwaga hawa jamaa huwa wanachukua hela nje ya nchi kuleta chaos mpaka ya kulipua vibomu sasa tumeanza kuamini. Kwa tamaa hii hawa chadema hata watu waliokuwa wanadhurika ktk mikutano yao walikuwa nyuma yake
 
Ww soma vizuri histori viongozi wote wa cdm wametoka ccm bata slaa . pili ktba ya chd haisemi mgombea pekea ni slaa. Katiba ndio muongozo.
 
Vyovyote iwapo,CDM haiwezi kuiombea mema CCM..hali kadhalika CCM kwa CDM..hiki tunachojadili hapa kwamba kwanini CDM wamegeukia matapishi yao hata wao walijua tutasema hivyo..yet CDM wamempokea..pengine tunaoshangazwa na uamuzi huu kuna kitu tunamiss..Kitu cha msingi hapa ni je,watanzania tunamhitaji loswasa au la? Na je lowasa ni fisadi?

Nauliza hivi kwa kuwa,pande zote CDM na CCM wana maswali ya kutujibu watanzania..huyu mtu fisadi kwenye list of shame ameingiaje kwenye list of fame? lakini pia huyu fisadi anayeomba kila siku kupelekwa mahakamani kama ushahidi upo,inakuwaje anafumbiwa macho? Lakini pia huyu fisadi amehudumu kwa kuda mrefu kama mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya mambo ya usalama wa nchi..na sisi kwa nafasi yetu kama wananchi tulifanya nini tulipoambiwa jamaa ni fisadi?
 
mpekuzi blog
kwa nini ukawa wameamua lowassa awe mgombea wao wa urais??..... Tundu lissu amelijibu swahi hili kwa ufasaha kabisa hapo chni:

edward lowassa anajiunga na chadema na atakuwa mgombea urais wa chadema na wa ukawa. Lowassa is perhaps the most controversial and divisive political figure in the country right now.

na amekuwa hivyo kwa muda mrefu. Sisi chadema tulimweka kwenye orodha ya mafisadi kutokana na kuhusika kwake na kashfa ya richmond mwaka 2007.

kwa hiyo swali halali kabisa ambalo lazima tulijibu kwa ufasaha ni hili: Kwa nini tumekubali, sio tu kumpokea kama mwanachama, bali kumpa heshima ya kuwa mgombea wetu wa urais.

na kwa nini washirika wetu wa ukawa nao wamemkubali kuwa mgombea wao wa urais??? Jibu ni kwamba tupo katika kipindi na mazingira ya kipekee ya kisiasa katika nchi yetu. Kwa mara ya kwanza katika historia yetu kama taifa, tunaona mfumo tawala ukipasuka vipande vipande.

kwa mara ya kwanza tunaona ccm ikipasuka katikati. Na mtu aliyeipasua ccm na mfumo tawala ni edward lowassa. Sisi chadema tumefanya kazi kubwa ya kujenga chama tangu 2010.

tuna wagombea wengi na bora katika majimbo mengi ya uchaguzi na ngazi ya madiwani kuliko ambavyo tumewahi kuwa nao kwa miaka yote ya nyuma. Hata hivyo, ni ukweli pia kwamba kuna maeneo mengi ya nchi ambako tuko dhaifu sana.

kwa kuingia kwake chadema na ukawa, lowassa anayaingiza maeneo hayo kwenye ulingo wa kisiasa and very much within our reach.

na lowassa ataiporomosha ccm kwa sababu ana nguvu kubwa ndani ya chama hicho kuliko mwanasiasa mwingine yeyote. Katika mazingira ya sasa ya kipekee, tunahitaji kuamua nani ni adui mkubwa zaidi wa nchi yetu na ustawi wake:edward lowassa mtuhumiwa wa ufisadi au ccm na mfumo tawala ambao unajenga mazingira yanayostawisha na kulinda ufisadi.??

sisi chadema na ukawa tumeamua kuwa adui yetu mkubwa wa sasa na siku zote ni ccm na mfumo tawala.

tumemkaribisha edward lowassa kwa sababu kuwepo kwake kutaharakisha kuiangamiza ccm na mfumo tawala. Tunaomba wananchi mtuelewe na kutuunga mkono.

huo ndiyo ukweli kwa mtu aliyo zunguka tanzania hii
 
NAONGEZEA MAJIBU:
Tulimwita fisadi kwa 7bu alitajwa na kamati ya bunge kuhusika na ufisadi. Kumbe alitolewa kafara na "mamlaka ya juu". Sisi sio malaika kung'amua hilo kwaiyo ilikuwa ni jukum lake kukataa kutolewa kafara kumtaja mhusika halisi, jambo hili ndio amelifanya sasa na kwahiyo hatuna ugomvi naye tena. Makombora tunayaelekeza kwa "mamlaka ya juu" na vibaraka wake. Pole Ndg.Lowassa utiifu wako kwa boss wako ndio uliokuponza kwa miaka yote. Sote tunajua hata escrow wametolewa kafara waliopata vijicent kupitia mkombozi bank wakti mabwanyenye waliopata "big cake" kupitia stanbic wakilindwa na "mamlaka ya juu". Mwenye akili amefahamu.
 
Mbinu chafu za Chadema zitaiangamiza
Miaka ya 70 Marekani ilikuwa inamtumia sadam kujaribu kudhofisha nchi ya Iran, baadae Sadam alikuja kuwa mwiba kwao
Inajulikana kuwa mfuga jini baadae litamuua
Chadema haioni kuwa sisi tulioitegemea inatuondolea imani? Fikria "eti Lowassa yuko kwenye chati kuuia ccm" ili hali yafuatayo yataiua Chadema;;:
1. Kitendo cha KUKATWA Dr Slaa ni hujuma na UTESAJI WA KISAIKOLOJIA kWAKE NA WAPIGANIA HAKI
2. Kuingia kwa Lowassa ni kuingiza ngenge la wezi wazee wa visenti mhindi wa pale mfanyabiashara. Je chedema nao ni watafutapesa?
3. Ni kupoteza muda badala ya kuishambulia ccm na mfumo wake wa kifisadi "sasa ni KUSAFISHA NA KUMTAKASA FISADI possibly No 1 kama sio 2
3. Ni kukubali kuwa na watu wasio wazalendo wala jasiri kutetea nchi au kuifia kama Lowassa ambaye alikuwa tayari kupoteza wadhifa akificha ukweli kuwa yeye na swahiba waliiba bila kupepesa macho hakumtaja hata kufa
Najiuliza mbona hana spirit ya Sokoine?
angepewa urais ccm asingesema na Cdm wangeendelea kuita Fisadi
4. Kupitisha Lowasa ni kusema kuwa Chedema nia ni Ikulu iwe kwa Wizi au Ukweli , ni kutangaza kuwa wanataka nao wakaziibe safari hii wakiwa na Professional
Iko wapi Nccr ilikuwa tunasukuma gari ikwa na shehe na mwanasheria. Najaribu kuhisi kuwa there are PLANTED GUYS WITHIN CHADEMA tutegemee kifo chake na huenda JESUIT na Masoni theoty zinztumika na kuniaminisha kuwa hakuna chama cha upinzania
 
Back
Top Bottom