Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
hawa CHADEMA walikuwa wanamtukana Lowassa bila kujua ukweli wote. na hawakukosea, watu wangesema wajue ukweli wote ndiyo waanze kusema hakuna kashfa hata moja ingeibuliwa. lowassa katoka na katuambia mwizi wetu ni nani hakuna haja ya kumsakama tena. wanaopinga lowassa kuingia CHADEMA, kwanza hawajui siasa kwa kuruhusu emotional na personal ishu zicloud maamuzi yao. pili ni wale wanaangalia CCM NA upinzani kwa mtazamo wa simba na yanga, ni mashabiki wa siasa.