nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
ccm iondoke kwanza. mengine baadae..
Politics na prostitution ...hakuna tofauti..
Yale ya kumuogopa kama ukoma et!
Hivi Lowassa akifanikiwa kuwa rais kupitia ukawa na kuwasweka kizuizini hawa wanaomkubali sasa watakuwa na haki ya kulalamika kweli?
So far Lowassa anastahili credit
anayoyafanya kwa CHADEMA ni sawa na mtu kufanikiwa kumuoa mwanamke uliewahi kumbaka na kumuulia mumewe zamani
halafu mwanamke huyo sasa yuko in love na wewe na unapeleka posa na inakubaliwa kwa vigelegele
few people can....
Hapana; ni yale ya Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM