Tundu Lissu: Dr. Slaa ni muongo, watanzania mpuuzeni. Maneno yote tatizo ni Urais

Hakika nawaambia weng hawatoamin kitakachotokea dr slaa hana uchiz wa kusema kitu ambacho hakna ukwel ndaan yake mim ni mfuas wa upinzan na ctak kabisa chama tawala kiendelee madarakan lakin kwa hili walilolifanya la kumpa m2 mwny mashaka mashaka kugombea urais ni bora niache kufatilia siasa kuliko kumpa kura yng watz weng wanashikiwa akil zaao na wakishika wenywe bac wanaweka mifukon sawa tunataka mabadiliko lakin tuangalia nan anayeleta mabadiliko hayo tucje tukaruka mkojo tukakanyaga mav jaman achen siasa za ushabik ebu tukae chin tufikirie iv mtu kama slaa azushe mambo kama haya inakuja akilin...changanya na akil zako tufanye ya maana

Hujawahi kushabikia upinzani so pita kushoto tuache na UKAWA yetu
 
Lissu anatumika kinyume na maumbile yake tuliyoyazoea,ni mchumba wa slaa tu anaeweza kusema mchumba wake alipolala sio yeye tundu mwanaume mzima,wanasiasa waache kutumika,ni bora kukaa kimya

Toa hoja wacha ushabiki usio na mantiki yoyote hapa. Kusema mtu kalala wapi inahusiana vipi na issue ya uchumba?
 
Lissu anatumika kinyume na maumbile yake tuliyoyazoea,ni mchumba wa slaa tu anaeweza kusema mchumba wake alipolala sio yeye tundu mwanaume mzima,wanasiasa waache kutumika,ni bora kukaa kimya

Kumbuka wana walinzi wa chama wanalinda nyumba ya katibu wao, Pia wana interregensia ya chama lazima lolote linalotokea nje ya nyumba wataelewa
 
Timu membe bado hawachoki? Slaa wamempa dola million 2 na nyumba kanunuliwa Dubai hata mkutano wa waandishi umegharamiwa na hizo hizo pesa za Marehemu Gadafi ambazo wanazitumia kumkomoa Lowasa,

Hizi pesa za CCM zitawatokea puani baada ya Lowassa kuapishwa.
 
Lisu tu nakuheshim sana mwache Dr. Slaa apumzike mbaki nyinyi, mafisadi nachama chenu kilicho kufa
 
Slaa ulilala kwenye gari la CHADEMA, unaishi kwenye nyumba ya CHADEMA..Hayo tunayajua!

Haya tueleze wadhamini wa Press Conference!...Sio unakalia kutukana wenzio tu!
 
Josephine kwanini ume mlaza Dr.W.Slaa kwenye gari?

Dr Slaa nilianza kukuheshimu leo lakini unaanza kunikwaza hebu kesho jitokeze hadharani ukanushe kama huku lala kwenye gari .....!

Ahahaaa tundu lissu na uanasheria wake wote lakini leo ameshindwa kabisa kujenga hoja!lawyer mzima anajenga hoja ya kulala kwenye gari?!wameshikwa pabaya leo
 
Last edited by a moderator:
Ahahaaa tundu lissu na uanasheria wake wote lakini leo ameshindwa kabisa kujenga hoja!lawyer mzima anajenga hoja ya kulala kwenye gari?!wameshikwa pabaya leo
Yani hadi kuchangia leo nasikia uvivu maana nawaonea huruma makamanda wamebaki wanalia tuu......Magufuli aapishwe tuu....
 
Yani hadi kuchangia leo nasikia uvivu maana nawaonea huruma makamanda wamebaki wanalia tuu......Magufuli aapishwe tuu....

Yaani huku kwetu leo vijana wamegawanyika hasa wasomi!huku mitaani watu wamemwelewa sana Dkt Slaa tofauti na makamanda wanavyotuaminisha humu ndani
 
Kama kawaida MKURUPUKAJI kabla hajatafakari kiundani kaenda jibu!! Huyu ndugu kama kweli kajibu basi ni bomu! Hatafakari kwanza!! Anaendeshwa ma mihemko!
 
Slaa ulilala kwenye gari la CHADEMA, unaishi kwenye nyumba ya CHADEMA..Hayo tunayajua!

Haya tueleze wadhamini wa Press Conference!...Sio unakalia kutukana wenzio tu!

Msumari wa Tundu Lissu wa moto. Story ya Lissu ndiyo itaandikwa na magazeti mengi kesho.
 
Back
Top Bottom