digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,893
- 14,349
.Nadhani itakuwa vizuri kabla ya tuition ya lugha tuanze na tuition ya punctuation ili ujue wapi ni pa kuweka kituo na wapi pa kuweka coma. Je uko tayari?
.Nadhani itakuwa vizuri kabla ya tuition ya lugha tuanze na tuition ya punctuation ili ujue wapi ni pa kuweka kituo na wapi pa kuweka coma. Je uko tayari?
Hiki Kitenge jamani kibayaa dah
Huu Uzi umenikumbusha utotoni tukishinda cha ndimu tuliimba....ukipigwa bao lazima ulegeee....eeehyaa!Ameshalegea!
Chagua Magufuli,achana na wale wa mwamba tuvusheHiki Kitenge jamani kibayaa dah
😏Ameshalegea
Hii n lugha ya kuudhi tafadhali Lissu muombe radhi Raid wako (2020-2025)
Si kanijukuta kababe!!!Ka Magu hakana akili ya kutafakari, kanapelekwa puta na hoja za Lissu!
Chagua Magufuli,achana na wale wa mwamba tuvusheView attachment 1577564
Angalieni Huyu Mbuzi hapa😀Lisu amekata tamaa ameacha siasa amekuwa mwanahatakati mpya.
Lissu au Jiwe ndo kapoteana?😀Lissu anazidi kupotea njia.
"Mother fanta"Lissu au Jiwe ndo kapoteana?
Mmeishameza ndoano hakuna kutema yan kubabeki zenu
Lisu amekata tamaa ameacha siasa amekuwa mwanahatakati mpya.
Sema uzuri Lisu hapotei mwenye, kwenye hili la vitambulisho vya wamachinga, hata Baba lao mwenyewe kapotezwa! Ni mwendo wa badala ya maji, ma!! Wewe mwenyewe unatembea mwenyewe machakani, sijui unatafuna mizizi gani!Lissu anazidi kupotea njia.