RockCarnegie
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 963
- 1,927
Hayo ni maneno mazito ƴa mtetezi wa haki za binaɗamu nɗugu Tunɗu Lissu aliyoyatoa mbele ƴa watanzania waishio Washington DC nchini Marekani wakati akijibu maswali kutoka watanzania hao!
Kwa maoni ƴangu Mh. TL ƴuko sahihi. Bila kuwa ƙutengeneza Tufani ya kisiasa, watanzania wataenɗelea kunƴanƴasika uongozi mbovu wa taifa letu!
Kwa maneno ƴa TL, haitatokea hata siku moja CCM wakakubali Tume Huru ƴa Uchaguzi kirahisi bila kutengenezewa Tufani!
Mimi nakubaliana naye kwa asilimia 100, kwa kuwa ni ukweli usiopingiƙa kuwa CCM wamezoea vya ƙunƴonga
maana vya kuchinja hawaviwezi.
Siasa za kistaarabu na kuheshimu utu wa wanaowakosoa si jadi yao. Ndiyo maana wamejifungamanisha na vƴombo vya dola ili kuhakikisha wanaendelea kutawala hata kama jamii ya watanzania haiwahitaji!
Ili CCM ƴa Jiwe na vikaragosi vƴake visambaratishwe, Tufani haiepuƙiƙi.
Kwa maoni ƴangu Mh. TL ƴuko sahihi. Bila kuwa ƙutengeneza Tufani ya kisiasa, watanzania wataenɗelea kunƴanƴasika uongozi mbovu wa taifa letu!
Kwa maneno ƴa TL, haitatokea hata siku moja CCM wakakubali Tume Huru ƴa Uchaguzi kirahisi bila kutengenezewa Tufani!
Mimi nakubaliana naye kwa asilimia 100, kwa kuwa ni ukweli usiopingiƙa kuwa CCM wamezoea vya ƙunƴonga
maana vya kuchinja hawaviwezi.
Siasa za kistaarabu na kuheshimu utu wa wanaowakosoa si jadi yao. Ndiyo maana wamejifungamanisha na vƴombo vya dola ili kuhakikisha wanaendelea kutawala hata kama jamii ya watanzania haiwahitaji!
Ili CCM ƴa Jiwe na vikaragosi vƴake visambaratishwe, Tufani haiepuƙiƙi.