Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,085
- 6,564
Ni ushauri mzuri kabisa ambao kama ukifuatwa basi mambo ya kubambikia kesi watu na walipakodi kuonewa kutakwisha. Hii kitu Lissu aliisema sana wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu
View attachment 1745100
View attachment 1745100