Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Afe nani kwa matoi hayo - CCM iko level nyingine - acha LIssu aendelee kula mikataba ya kuuza nchi
Karne hii walafi na wanye nchi ni watawala wenye katiba kama hii tuliyo nayo.
Kwa nchi yenye katiba bora na miiko ya uongozi bila kujali vyama na maslahi ya watawala hakuna mtu mmoja anayeweza kuuza nchi.
Natamani sana nchi iondoke mikononi mwa SiSeMi ili mujue umuhimu wa kuwa na katiba bora inayowadhibiti watawala. Mumejiwahau sana na kuwaona watawala kuwa ni miungu kwa sababu tu ya kuwapa mamlaka ya kuwateua maelfu ya marafiki zao na wale wanaowataka na kuwaweka kwenye ulaji. Lakini sikukifanyiwa mnayofanyia binadamu wenzenu mtajua umuhimu wa kuwa na katiba bora na miiko ya uongozi.
Haiwezekani waziri anatoka hadharani na kutoa wito wa kuua watu eti kisa wanapinga serikali. Kama ni kuuzwa nchi ilishauzwa zamani sana ndio mana kuna watu kama Musibamsibamkuu wanaoweza kutoka hadharani na kusema kuwa kundi moja la watu liteketezwe kwa kuuawa kwa kulisha nembo ya uhaini na usaliti. Hao ndio wenye nchi na Waitatara naibu waziri. Wanahamasisha mauaji ya binadamu wenzao lakini hawakamatwi utafikiri wanazungumzia kuuawa kwa mende aubu. Aibu kubwa

Kwa kuiachi nchi ipelekwe na watu kamab akina Musibamsibamkuuliachia ni bora iuzwe kwa Mabeberu wa nje kuliko Mabeberu wa ndani wanaokula na kushika na tumewapa kila kitu na kila jema la nchi liko mikononi mwao lakini wanataka na roho za watu.
Mabeberu wa ndani hawana shukrani wanataka kutawala mpaka akili na midomo yetu na roho zetu.
Mabeberu wa ndani wabaya kuliko Mabeberu waliowahi kutokea duniani.

Kuliko kulala na Koboko ndani ni bora upite kwenye pori lake mana utapita kwa tahadhari.
Adui anayekuulia ndani ni mbaya kuliko adui wa nje.

Watanzania hatuwezi kukubali propaganda zenu za kuruvurugia Diplomasia yetu iliyojengwa tangu awamu ya kwanza.
Awamu ya kwanza ilizunguka dunia nzima bila kufungamana na upande wowote na iliheshimika kwa kujenga mijadala yenye hoja sio mitutu ya bunduki na majeshi.
Tujisahihishe sio kuzidi kujenga chuki na uongo usio na tija.

Tundu Lisu hatoke kwenye nchi ya Kidikteta Bali nchi ya Kidemokrasia yenye Vyama vingi. Na yeye ni chama cha upinzani na ameacha mamilioni ya watanzania wenye mawazo kama yake na wanaomuunga mkono. Kumdhuru Tundu kwa Mara ya pili kutaleta hasira Kali kwa watanzania wengi sana.
Kuna wauaji wanaojifanya ni wazalendo kwa kuwadanganya watu kuwa wakimuua Lisu ndio watatawala milele. Ni upuuzi wa kutisha.
Marekani pamoja na kuathiriwa sana na Ugaidi lakini kuna watu walikua wanapinga nchi yao kuingia vitani na kusababisha watoto wao kufia vitani. Hata hivyo mawazo yao hayakupingwa kwa mtutu wa bunduki Bali kwa kura.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
NGO gani wakati mnazifungia?kama mmefikia hatua ya kuvipiga kodi vituo vya dini vinavyolea watoto wasiyo jiweza kuna usalama gani tena wa kusaidia huko?
Kama watu wenye mapenzi na nchi yao hiyo ela kwa ajili ya kununua basi wangechangia TASAF uwasaidie maskini au kama hawana imani na taasisi za kiserikali wametoa kwny NGOs zinazo fanya kazi na jamii kwa ukaribu
Ila mbongo ni kama Waafrika wengine na akili zetu zinafanana kwa sababu sisi wote ni Waafrika

In God we trust
 
Inshu sio kununua, kitu cha kununua mwenyewe na kile cha kupewa, kina tofauti mtu anayekupa kitu ina maana amekubali kile unachokifanya, hiyo inakuwa kama shukrani!!!
Wanaume wameweza kumpangia nyumba asipigwe baridi, wanamlipia chakula, ada za watoto wanamlipia na gari wamemnunulia.
Halafu kuna mtu mwenye akili atauliza kwa nini Chadema wanatetea ushoga, maajabu haya
 
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864

In God we trust
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864

In God we trust
Tuache uzushi wa kijinga



Screenshot_20190313-132746.png
 
Mkuu umeongea kwa uchungu mkubwa sana na hii unatuonyesha kuwa hii nchi ina utajiri wa wazalendo wa kweli wenye uchungu hasa na nchi yao.
Karne hii walafi na wanye nchi ni watawala wenye katiba kama hii tuliyo nayo.
Kwa nchi yenye katiba bora na miiko ya uongozi bila kujali vyama na maslahi ya watawala hakuna mtu mmoja anayeweza kuuza nchi.
Natamani sana nchi iondoke mikononi mwa SiSeMi ili mujue umuhimu wa kuwa na katiba bora inayowadhibiti watawala. Mumejiwahau sana na kuwaona watawala kuwa ni miungu kwa sababu tu ya kuwapa mamlaka ya kuwateua maelfu ya marafiki zao na wale wanaowataka na kuwaweka kwenye ulaji. Lakini sikukifanyiwa mnayofanyia binadamu wenzenu mtajua umuhimu wa kuwa na katiba bora na miiko ya uongozi.
Haiwezekani waziri anatoka hadharani na kutoa wito wa kuua watu eti kisa wanapinga serikali. Kama ni kuuzwa nchi ilishauzwa zamani sana ndio mana kuna watu kama Musibamsibamkuu wanaoweza kutoka hadharani na kusema kuwa kundi moja la watu liteketezwe kwa kuuawa kwa kulisha nembo ya uhaini na usaliti. Hao ndio wenye nchi na Waitatara naibu waziri. Wanahamasisha mauaji ya binadamu wenzao lakini hawakamatwi utafikiri wanazungumzia kuuawa kwa mende aubu. Aibu kubwa

Kwa kuiachi nchi ipelekwe na watu kamab akina Musibamsibamkuuliachia ni bora iuzwe kwa Mabeberu wa nje kuliko Mabeberu wa ndani wanaokula na kushika na tumewapa kila kitu na kila jema la nchi liko mikononi mwao lakini wanataka na roho za watu.
Mabeberu wa ndani hawana shukrani wanataka kutawala mpaka akili na midomo yetu na roho zetu.
Mabeberu wa ndani wabaya kuliko Mabeberu waliowahi kutokea duniani.

Kuliko kulala na Koboko ndani ni bora upite kwenye pori lake mana utapita kwa tahadhari.
Adui anayekuulia ndani ni mbaya kuliko adui wa nje.

Watanzania hatuwezi kukubali propaganda zenu za kuruvurugia Diplomasia yetu iliyojengwa tangu awamu ya kwanza.
Awamu ya kwanza ilizunguka dunia nzima bila kufungamana na upande wowote na iliheshimika kwa kujenga mijadala yenye hoja sio mitutu ya bunduki na majeshi.
Tujisahihishe sio kuzidi kujenga chuki na uongo usio na tija.

Tundu Lisu hatoke kwenye nchi ya Kidikteta Bali nchi ya Kidemokrasia yenye Vyama vingi. Na yeye ni chama cha upinzani na ameacha mamilioni ya watanzania wenye mawazo kama yake na wanaomuunga mkono. Kumdhuru Tundu kwa Mara ya pili kutaleta hasira Kali kwa watanzania wengi sana.
Kuna wauaji wanaojifanya ni wazalendo kwa kuwadanganya watu kuwa wakimuua Lisu ndio watatawala milele. Ni upuuzi wa kutisha.
Marekani pamoja na kuathiriwa sana na Ugaidi lakini kuna watu walikua wanapinga nchi yao kuingia vitani na kusababisha watoto wao kufia vitani. Hata hivyo mawazo yao hayakupingwa kwa mtutu wa bunduki Bali kwa kura.



Sent using Jamii Forums mobile app

In God we trust
 
Wanaume wameweza kumpangia nyumba asipigwe baridi, wanamlipia chakula, ada za watoto wanamlipia na gari wamemnunulia.
Halafu kuna mtu mwenye akili atauliza kwa nini Chadema wanatetea ushoga, maajabu haya
Hizo ni siasa zenu bwana tulishawazoea!! Mala lowasa ni mwizi, mala sijui amefanyaje leo, mnasema vingine?! Siasa za kiafrika bila unafiki haziendi kwa hilo nakubali
 
Kwakuwa mawazo yenu ni funyu hata mkielimishwa miaka 100 kamwe hamtaelewa na kuluchobakia ni kiwaburuza tu kama mapunda ili mradi tufike
Wanaume wameweza kumpangia nyumba asipigwe baridi, wanamlipia chakula, ada za watoto wanamlipia na gari wamemnunulia.
Halafu kuna mtu mwenye akili atauliza kwa nini Chadema wanatetea ushoga, maajabu haya

In God we trust
 
NGO gani wakati mnazifungia?kama mmefikia hatua ya kuvipiga kodi vituo vya dini vinavyolea watoto wasiyo jiweza kuna usalama gani tena wa kusaidia huko?

In God we trust
anza kunitajia NGO'S zilizo fungiwa
Alaf Mm na valontia kwny kituo cha watoto yatima sijawahi kusikia habari ya kulipia kodi labda kituo gani ndugu huwa mnafanya hivyo
 
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864

In God we trust
Editing hiyo hamna ukweli apo, nitaamini siku mbowe akitoa tamko .

Alie edit ameiva sana ila alisahau kutoa mistari ya chini ya gari
FB_IMG_1552474254188.jpeg


ghost rider
 
Wewe naona upo sudan ya kusini au korea kaskazini
anza kunitajia NGO'S zilizo fungiwa
Alaf Mm na valontia kwny kituo cha watoto yatima sijawahi kusikia habari ya kulipia kodi labda kituo gani ndugu huwa mnafanya hivyo

In God we trust
 
Shida iko wapi sasa hapo !!? Je kama lilikuwa lime pack kabla yakupigwa stickers !!?
Kwahiyo hata huko Google lilipakiwa hivohivo kabla ya kuweka sticker?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom