Huyu mgombea wetu na yeye kama Bona Kamoli atapelekaje passpoti ameangalia pembeni? Kama vipi wangemwengua tu ili tupate fundisho mwaka 2025
 
Resources ni za nchi siyo za chama, hata wewe ukipewa nchi utaweza iongoza..

Ninyi ndo mnafikiria eti magufuli pesa zinazotumika kununua mandege na kujenga maSGR ni zake..
Za nchi au za chama haijalishi as long as anayezitumia anazitumia na mwingine hazitumii.
 
Watu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.

Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.
Give enough rope to a fool he will hange himself.
Tukutane Oktoba.



MAGUFULI4LIFE.
 
Unajua athari za kuchezea uchaguzi?
Jf expect member unaombea nchi ingie kwenye machafuko huna utu wala busara tambua hilo,kama una nguvu zakupigana elekeza jicho kwa watoto,wamama , na wazee,usiangalie kwa jicho LA ubinafsi.amani ni tunu
 
Jf expect member unaombea nchi ingie kwenye machafuko huna utu wala busara tambua hilo,kama una nguvu zakupigana elekeza jicho kwa watoto,wamama , na wazee,usiangalie kwa jicho LA ubinafsi.amani ni tunu

Ukiona unadhulumiwa kila siku kisha unatakiwa ukae kimya kwa kisingizio cha amani, ujue hiyo sio amani bali ni ukondoo.
 
Ukiona unadhulumiwa kila siku kisha unatakiwa ukae kimya kwa kisingizio cha amani, ujue hiyo sio amani bali ni ukondoo.
Hujui unachokiongea nasikitika kwa maono haya kama kijana,usipinge kila kitu itakujengea Tabia ya chuki na yakudumu
 
Wawe waangalifu wasije kutekwa kabla hawajafika.

Hata huo mkutano wake na waandishi unaweza kuzuiwa ili kumfichia mtu fulani aibu.

Swali la kujiuliza hapa ni je, iwapo Magufuli, kama mgombea, atakuwa ni mmoja wa aliewekewa pingamiza, atajitetea kama mgombea au atajitetea kwa mwamvuli wa Ofisi ya Uraisi?

Binafsi naamini sheria itamtaka ajitetetee kama wagombea wengine.

Tusubiri.

KWANI LISSU AMEAINISHA VIGEZO GANI MPAKA JPM NA LIPUMBA WASIGOMBEE? MWANA KULITAFUTA MWANA KULIPATA...JIULIZENI KWANINI WENZAKE WALIMUACHA, TENA WAMEACHIA KUANZIA MBALI SANA ILA WATAMKAMATIA BADO HATUA MOJA KUMALIZA MBIO
 
Yani serikali this time imecheza kama Pele kila CHADEMA wanachotegemea ifanye haifanyi.
Walitegemea Lissu akirudi atakamatwa, walioenda kumpokea watapigwa. Lakini hakuna haikutokea
Wakategemea atazuiwa kushiriki uchaguzi. Lakini haikutokea
Wakategema atakatwa kwa kuanza kampeni mapema. Napo hakuna
Sasa naona kaanza wabip mwenyewe. Yani ni lazima hata angekuwa mimi ningeanza kuwaza hawa jamaa vipi wana agenda gani mbona kila nachodhani watafanya hawafanyi.
 
Kwa kukuondoa utandi wa ubongo wako... kwa masingira ya sasa lisu anapambana na mgombea sio raisi...

Acha ujinga uende mbinguni mbwam wewe.
kwani masingira ni nini? au huna meno umeyaacha kwenye ugolo. We ndo una utando kwenye ubongo.
 
Kosa lingine hilo kwa lissu , lissu ni mgombea anaetoka katika chama kina Chojipambanua kuwa ni cha demokrasia zaidi kuliko vyama vingine, unapowawekea pingamizi washindani wako maana yake hutaki ushindani , kama hutaki ushindani hiyo ni demokrasia ipi ambayo chama chake kina hubiri? maana yake lissu akiwa Rais wa nchi hii atafuta hata vyama vingine ili abaki yeye na awe anashinda bila kupingwa, ndugu zangu chadema undeni team ndogo ya kumshauri mgombea wenu.

Kama lipumba ange muwekea pingamizi tundu lissu mngesema huyo katumwa na ccm, kama Magufuli ange muwekea pingamizi tundu lissu mngesema ni dictator , hapendi democracy, ni mabutu huyu etc, jaribuni kuwa makini katika kampeni zenu, haingii akilini chadema kuwa na ugomvi na CUF , wote ni wapinzani ,mnarudisha nyuma jitihada za kuiondoa ccm madarakani.
 
Tumia akili kidogo kosa la kwanza analoliongelea Lissu kila mgombea aliefuata kanuni za NEC amefanya ivyo isipokuwa peke yake. Kaamua tu kuchagua Magufuli na Lipumba kwa sababu zake.

Ina maana mgombea halali aliyebaki ni yeye mwenyewe. Wengine wote awaelewi sheria.

Sheria yenyewe hajui mantiki ya statutory instruments/by laws/secondary legislations; ni taasisi husika kutengeneza utaratibu wao utakaofaa wa kusimamia majukumu kutokana na mamlaka ya kisheria, yeye anajua kushinda NEC apparently.

Mtatufitieni huyo mtu tiba badala ya kushangilia upuuzi wake.
Kusema Lissu hajui sheria tyari wewe ni mbumbumbu,kilaza,mpumbavu,mtu usiye na hoja na hmna haja ya kujibizana na mtu km wewe.
 
Mgombea Urais wa chama kikubwa ambaye pia (currently) ni Rais wa JMT, amekosea kujaza fomu, specifically katika suala la picha (so I've heard).

Mmmhhh... something here is just... off
 
Kusema Lissu hajui sheria tyari wewe ni mbumbumbu,kilaza,mpumbavu,mtu usiye na hoja na hmna haja ya kujibizana na mtu km wewe.
Kumbe tatizo lako ni kuamini Lissu is all knowing na awezi kosea if that’s the case then speak for yourself usilazimishe kila mtu amuone Lissu ni mwerevu.

Nenda kwanza ka google mantiki ya secondary legislation na mantiki ya taasisi kupewa Power za kuzitunga. Ndio uone upuuzi aliokuwa anaongea huyo Lissu wako in other words ata yeye anashiriki kwenye mchakato ambao ameuita batili.
 
Back
Top Bottom