Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,730
- 2,850
Hayao ni mawazo ya tundu lisu na sio sheriaSharia
Sheria ifate mkondowake
Hayao ni mawazo ya tundu lisu na sio sheriaSharia
Sheria ifate mkondowake
Vipi wale wanoteka wenzao ili wapite kupigiwa kura
Resources ni za nchi siyo za chama, hata wewe ukipewa nchi utaweza iongoza..Upinzani hauna guts na resources za kuexecute haya yanayoendelea. Mabeberu nguvu yao ipo kwenye vikwazo, Hivi Wale chama tawala asili waliokuwa wanasemwa semwa walipotelea wapi?
Ongeza sauti sasa nikusikie vzuri. Nilikuwa bze nafuatilia maamuzi ya TumeNdugu sio mbaya kuendelea kutafuta pa kuegemea. AMEN
Tumia akili kidogo kosa la kwanza analoliongelea Lissu kila mgombea aliefuata kanuni za NEC amefanya ivyo isipokuwa peke yake. Kaamua tu kuchagua Magufuli na Lipumba kwa sababu zake.Kilaza katika ubora wako.unaona umeandika!
Watu hawawezi kuweka mambo ya kipumbavu kwenye account zao. Labda mpumbavu tu ndo anawexaganya hivo. Anyway mapingamizi ya kipumbavu yametupiliwa mbaliNajaribu kutafuta clip za alichokisema Lissu leo hii kuhusu kuwawekea pingamizi wagombea wenzake kwenye mitandao mbalimbali lakini zinakuwa tabu kupatikana na zinazopatikana ama ziko nusunusu huku zingine zikiwa zimeondolewa mfano facebook.
Je, tatizo hili liko kwangu tu au na kwa wengine?
Kama liko na kwa wengi, je tatizo ni nini?
Nawaza!!
Update:
Hatimae nimepata link kutoka kwa Hilda Newton kwenye akaunti yake ya Twitter
Ni hii:
https://t.co/l1bisaYy2X?amp=1