Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,187
- 79,395
Use the same law to beat them ndo maana mkiambiwa Mkuu ana PHD ya magumashi mnabisha. Haiingiii akilini Dr of Philosophy anaweza fanya upuuzi ule. Mimi ninaamini 99.9% ni serikali imetuma kile kikundi maalum kilichovamia clouds.Yani na wewe unaamini askari waliingia na uniforms zao na kulipua hzo office.
Na hao advocates waliosomeshwa na nchi, how on earth should they work for a company that has been stealing from their country. Aliyewalipua nampa heko mob
Sent using Jamii Forums mobile app