Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,401
Kukiri kushindwa siyo unyenyekevu.Yeye amekiri kushindwa na cha kushangaza zaidi anaomba msaada kwa uma ambao umemtuma kufanya kazi na unamlipa ujira kwa kazi hizo.urais siyo kubeba zege mkuuu hayo maneno huwa anaongea ni kuonyesha unyeyekevu na kutojikweza hapoo lingekuwa lile tundu lililokimbilia ulaya ingekuwa ni majisifu tu naweza naweza kumbe hakuna kitu
Hakuna ajira kibao.CCM ni matapeli wanaolaghai watanzania kupitia ahadi hewa.Angali hizi ahadi hapa chini ambazo hata kwa akili ya kawaida zinaonekana ni ahadi zisizotekelezeka.CCM wamekuwa wakifanya watanzania kuwa ni watoto wa kudanganya kila kukicha tokea uhuru hadi leo.hebu angalia mama anavyomwaga mashdarasa huko mahospitali ajira kibao sasahivi zinatoka hivi unataka mpaka uletewe hela mkononi au?