mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,572
- 9,808
Mungu ambariki sana Tundu Lissu, ili maono yake yote kwa ajili ya nchi yetu yakapate kutimia na kufikia ukamilifu wote alioukusudia. Huyu kwa hakika ni "icon" ya sasa ya uzalendo hapa nchini.Amesema Ratiba kamili ya tarehe na siku ya yeye kurudi itatolewa na uongozi wa chama baada ya mashauriano.
Aongelea pia ukimya wa vyombo husika kuhusu usalama wake na kawatoa hofu Wanachama kuwa atarudi