MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,927
- 6,850
Lissu ni kibaya chajitembeza kizuri (Masilingi) chajiuza
Makengeza (Ulemavu wa macho) na kayumba skuli ni kizuizi kikubwa sana kwako kuona kipi chema na kipi kibaya! Pole Chakubanga
Lissu ni kibaya chajitembeza kizuri (Masilingi) chajiuza
Tutaungana Moja kwa Moja Kati ya Mwanahabari Huru na Kwanza Tv kwanzia majira ya saa Tatu kamili saa za Tanzania kwenye Mazungumzo ya Moja kwa Moja Mubashara na Tundu Lissu
===============
Tundu Lissu: Aishangaa Serikali kupitia watendaji wake kwa matamko wanayoyato
Tundu Lissu: Kuhusu kauli ya Waziri Lugola kusema hakuna CCTV eneo aliloshambuliwa Lissu, "Sizungumzi ya kuambiwa, hiyo CCTV iliwekwa mara tu baada ya Medard Kalemani kuhamia katika jengo like
Tundu Lissu: Yale majengo yanalindwa Massa 25, na hao walionishambulia walinifuata mpaka getini na hao walinzi wanaolinda lile geti siku nashambuliwa hawakuwepo, swali ni Je, nani aliyewaondoa?
Tundu Lissu: Hao wanaopiga kelele kuwa nirudi nyumbani wameshawai niuliza naendeleaje au umetibiwaje?
Tundu Lissu: "Yale majengo yanalindwa Massa 25, na hao walionishambulia walinifuata mpaka getini na hao walinzi wanaolinda lile geti siku nashambuliwa hawakuwepo, swali ni Je, nani aliyewaondoa?"
Tundu Lissu: Akihojiwa na Maria Sarangi Mambo yakiharibika kwa sababu ya Serikali, lawama zote zitaelekezwa kwa Rais, Katiba yetu inasena Rais hawajibiki kufuata ushauri wa mtu yeyote sasa Rais akiamua kuwajibika kwa ushauri lawama ni juu yake."
Tundu Lissu: "Rais wetu ni Mkuu wa nchi, ni mtu mwenye nguvu sana na Rais wetu anasema mwenyewe kwa maneno yake kwamba anataka 2020 kusiwepo na vyama vya upinzani, anamwambia Lowasa akawaambie wenzake wataishia magerezani sasa tukimsema tunakose?"
Tundu Lissu: "Wanaosema nimepona hasa Spika, niwaambie tu kuna kautaratibu wameandika kuwa ni wajibu wa madaktari wa Bunge kufuatilia hali ya mgonjwa, sasa madkatari waje kufuatilia waache blah blah wanazopiga
Kweli kwa maneno ni kweli lakini in actual hakuna chochote. Serikali inaendelea na programmes zake kama kawaida. Leo contractor wa bwawa la Rufiji amekabidhiwa site. Hapa Kazi Tu.Hahahahaa!!...Lissu ni Mwiba!
Hivi amekusaidia nini na ukasuku wa Lissu? Ameongeza kipato kwako?Huyu mzee hakika anajielewa nanimsomi waukweli kabisa heko lisu natamani wapatikane watu kama wewe kwenye chamachangu tawala wenyeuweledi na wanaharakati kama wewe,hakuna mvumilivu kwenye kuuwana tusifu mengine kwa hili TL endelea kupasua na MUNGU akutanhgulie.
Yap.. Hao ndio size ya Lisu"Tunao wasemaji wetu" mahiri sana, Msukuma, Lusinde na sasa Lugola.
Sent using Jamii Forums mobile app
Meko akiona hivyo nihatari sanaHuyu mzee hakika anajielewa nanimsomi waukweli kabisa heko lisu natamani wapatikane watu kama wewe kwenye chamachangu tawala wenyeuweledi na wanaharakati kama wewe,hakuna mvumilivu kwenye kuuwana tusifu mengine kwa hili TL endelea kupasua na MUNGU akutanhgulie.
Iyo kweli, mimi nikajua simu yanguKwa nini una upload kipande tu cha video? Weka full interview video tuone na kusikiliza...
Lissu ni kibaya chajitembeza kizuri (Masilingi) chajiuza
Wote ni vichaa wakiongozwa na kichaa wao mkuu.sasa kwa hao wakijani nani yupo vizuri upstairs
And him who fired 38 live bullets, with 16 hitting the target, how much was he paid or did they hang him for not killing the prey!!!?Jimmy has paid you handsomely, uh!?
===
'Mtazitapika'...!
Lissu amefanya Jiwe aonekane kituko, muuaji, na katili....Hatari kubwa !
Shetani hajawahi kumshinda MunguLissu amefanya Jiwe aonekane kituko, muuaji, na katili....
Sijui jiwe atatafuta kiki gani ya kujisafisha mbele za wadanganyika
mpango wenu umejulikanaNi sawa na unakaa kwa baba alaf eti unampiga mkwara, unasahau kwamba maamuzi ya kwenda chooni au kutokwenda yapo chini yake!
Sent using Jamii Forums mobile app