nG'aMBu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,038
- 3,086
Lissu hana ujasiri huo wa kumfukuza ZITTO kwenye ubunge.
Tumia kichwa cha juu kufikiria, T.Lisu hajamfukuza zzk bali katiba ya cdm ndio imemhukumu
Lissu hana ujasiri huo wa kumfukuza ZITTO kwenye ubunge.
Lissu hana ujasiri huo wa kumfukuza ZITTO kwenye ubunge.
Tunasikitika kumpoteza mpiganaji zitto bungeni maana mchango wake n mkubwa sana lakini tatizo la undumilakuwili alilonalo ni bora afukuzwe tu...
Unafikiri chama ni nani kama siyo MBOWE. Lissu kapata maelekezo kutoka kwa mwenye chama,
it wasn't necessary for cdm.
Lissu kama nani jamani, mbona tunashindwa kuelewa haya mambo yanavyotakiwa kwenda?
Chadema itaendelea kuwa chama cha upinzani tena mwaka huu.
Trust me...
Nambari wani eeeh, Nambari wani CCM...............Matukio juu ya matukio...
Chonde chonde CCM, Toeni nafasi kwa Wapinzani kujipanga kuelekea Uchaguzi....Pls Pls