Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii

Lisu akirudi kwa jinsi alivyokuwa na vibe, ni lazima CCM wapore tena uchaguzi, na matumizi makubwa tena ya vyombo vya dola yakae hadharani. Lisu ana nyota kali sana ya mvuto.

Zile kampeni za 2020 zilimuacha Magufuli na msongo wa mawazo, hakutegemea kama Lisu angeweza kupata uungwaji mkono wa kiwango kile. Na sababu hiyo ilibidi apore uchaguzi maana alijua matokeo halali yangemuacha na fedheha yeye na ccm yake.
🙏🙏🙏🙏kweli
 
Mkuu technically, kwanza hongera sana kwa bandiko hili very powerful la kitu kinachoitwa mind suggestibility, naunga mkono hoja, kwa hoja kuwa mtu yoyote aliyetimiza sifa na vigezo vya kuwa rais wa JMT kwa mujibu wa katiba, vyote Tundu Lissu anavyo hivyo ni kweli anaweza kuja kuwa rais wa nchi hii yetu ya Tanzania na ule uchaguzi wa 2015 ni mimi ndie nilimshauri Lissu Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Sikujua kwamba ushauri ule ungekuja kumponza, hadi kupata zile pyu pyu Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana

Ila kwa nchi yetu Tanzania na kwa siasa zetu za kiTanzania, ili mtu kuweza kuwa rais wa nchi hii ni lazima awe CCM, kwa Tanzania, urais una haki miliki, haki miliki ya urais wa JMT ni kwa chama cha Mapinduzi CCM pekee. Haki miliki hiyo ilitolewa kwa CCM na muasisi wa taifa hili, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, pale aliposema "Mtu yoyote anaweza kuwa rais wa Tanzania, ila rais bora ni kutoka CCM". Balozi Karume: ‘CCM pekee iwe inasimamisha mgombea urais Zanzibar’

Wewe katika bandiko hili umetumia definitive statement kuwa Tundu Lissu atakuwa rais wa nchi hii as if you are very sure!. Kwa vile Tundu Lissu yuko opposition, na its very unfortunately Tanzania hatuna any serious opposition wa kuiondoa CCM madarakani hivyo Lissu kupitia opposition kamwe hawezi kuja kuwa rais wa nchi hii unless ahamie CCM, ateuliwe na CCM kugombea urais, mgombea urais wa CCM ndiye rais wa Tanzania!.

Walipambana vipi?, wakashindwa vipi?, inamaana Tundu Lissu aliwashinda Mkapa, Kikwete na Magufuli, please share with us alishindana na hao wote watatu kwenye nini na Tundu Lissu ndio akawashinda?.

Duu!..., hii kali!, ila naomba nisikubeze maana kuna kauli nyingine ambazo mimi naziita "kauli umba", zina nguvu ya kuumba kwa...

Hili kwa kweli naitunza, ila hujasema how?. Ila kwa uzoefu wangu wa kura za urais, sisi sio kama Kenya ambapo matokeo yanaweza kuhojiwa, sisi matokeo yakitangwa ni final and conclusive, hivyo kama determinant ya ushindi kwa chaguzi zetu ni matokeo ya kura za ndio zilizopigwa na wapiga kura, yaani vote cast then its posible mgombea yeyote mwenye kura nyingi ndie mshindi, hivyo uchaguzi wa 2025 Lissu akigombea na Samia, na Lissu akapata kura nyingi, anatangazwa mshindi na kweli Tundu Lissu anakuwa rais wa nchi hii ya JMT.

But ivery unfortunately the determinant of victory in our elections is not the vote cast but the vote count!, nikimaanisha the determinant ya nani anashinda uchaguzi, sio kura zilizopigwa bali ni kura zilizohesabiwa, hivyo mwamuzi wa nani ni mshindi ako mpiga kura bali mwesabu kura!.
Maadam 2025 haiko mbali, lets wait and see to it hili likotokea!.
Wish you all the best kwenye kauli umba yako hii!.
P
Hizi ni pumba andamizi.kukiwa na katiba mpya inayofuatwa na tume huru ya uchaguzi.TL atakua rais.polisi na mahakama wasipotumika na ccm,nani wa kumzuia TL ikulu???.usikariri
 
Tundu lisu Hawezi Kamwe kuwa na kuja kuwa Rais wa nchi hii, Lisu Hawezi Hata kidogo kuwa Amiri Jeshi mkuu wa nchi hii, Lisu Ni mropokaji, mpayukaji, Amejaa mihemuko na jazba, Hana hekima Wala busara, Hana Subira Wala Nidhamu ya kiuongozi, Hajuwi miiko ya kiongozi, Lisu siyo kiongozi Yule, Hawezi kuwa Rais Hata TFF tu, Amejaa kauli za kuwagawa watu na kuwadharau watu, Hawezi kuwaunganisha watu zaidi ya kuwagawa watu, mdomo wake Hauna breki wala hajuwi aongee Nini na kwa wakati gani, Yule Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongozaa
Hakuna mnyiha mwenye akili mbozi yote,magufuli na lisu nani anajua kuropoka???
 
Mimi ua nashangaa saana ninapo sikia watu wanasema magufuli alitaka kuua tundu Lissu sijui ilikuwa plan yake kumpiga tundu Lissu risasi

Hivi raisi ninyi mnamchukuliaje kabisa
Jaribu kufatilia ata abari za maraisi ambao walikuwa wauwaji wakubwa
Raisi akikusudia kukua ndugu yangu umepotea ule ungelikuwa ni mpango wa magufuli baada ya kushindwa kumuua kwa risasi alikuwa na uwezo wa kutumia wale madocter ambao walikuwa wana mtibiya ili wamfyekelee mbali kabisa
Au kutumia majambazi na wengine
Lakini kwasababu ule ulikuwa sio mpango wa raisi ndo maana uliona vile baada ya kupigwa risasi madui zake walishindwa kumfatilia

Aaaa wapi, nadhani unafikiri rais ni Mungu, aliowatuma ndio walimuangusha. Na kwa taarifa yako hakutegemea kama atapona. Na ingetokea Lisu kuletwa Muhimbili kama alivyotaka, leo hii yeye na Lisu wote wangekuwa na sifa ya marehemu.
 
Tangu nisome uzi wa Dark days 170320 Haitokaa itokee ni waamini wanasiasa au wanaojiita wanaharakati. Ni upumbavu trash kabisa
 
Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Bangi utaacha lini
 
Never too late to prepare 'Cause many things you fear have been in place for years.

Nothing Impossible under the sun.
 
 
Very disappointing,

Tanzania kama nchi inayoamini katika utawala bora, haiitaji kuendeshwa kwa kufuata mihemuko wala uvunjifu wa sheria kufanikisha jambo fulani.

Ni jambo la kusikitisha sana wewe kama wakili na mwandishi wa habari unayetegemewa kuielimisha jamii, unaamini katika misingi isiyo leta haki na uvunjifu mkubwa wa katiba na sheria zilizopo, ikiwemo umwagaji damu wa watu wasiokuwa na hatia kwa sababu ya ubinafsi.
Mayalla ni Looser😅
 
Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.

Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.

Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.

Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Na ikitokea akawa Rais mimi Mtoto wa Shule nitajisaidia na kupanga kinyesi changu kuanzi kwangu Kijijini Rubambangwe hadi Makao Makuu ya Nchi Dodoma!
 
Lisu akirudi kwa jinsi alivyokuwa na vibe, ni lazima CCM wapore tena uchaguzi, na matumizi makubwa tena ya vyombo vya dola yakae hadharani. Lisu ana nyota kali sana ya mvuto.

Zile kampeni za 2020 zilimuacha Magufuli na msongo wa mawazo, hakutegemea kama Lisu angeweza kupata uungwaji mkono wa kiwango kile. Na sababu hiyo ilibidi apore uchaguzi maana alijua matokeo halali yangemuacha na fedheha yeye na ccm yake.
Bila vyombo vya habari mwamba alitoboa, yaani watu walipashana habari na kupeana ratiba kwa mitandao tu, na watu wakampokea kwa wingi sana Lisu lazima aje awe rais wa hii nchi
 
Back
Top Bottom