ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,709
- 2,272
🙏🙏🙏🙏kweliLisu akirudi kwa jinsi alivyokuwa na vibe, ni lazima CCM wapore tena uchaguzi, na matumizi makubwa tena ya vyombo vya dola yakae hadharani. Lisu ana nyota kali sana ya mvuto.
Zile kampeni za 2020 zilimuacha Magufuli na msongo wa mawazo, hakutegemea kama Lisu angeweza kupata uungwaji mkono wa kiwango kile. Na sababu hiyo ilibidi apore uchaguzi maana alijua matokeo halali yangemuacha na fedheha yeye na ccm yake.