JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,358
- 9,613
Moja kati ya maelezo ya Lissu wakati akihojiwa na kituo cha Habari huko nchini Kenya alieleza kwamba atakae fanya usaliti hata uwe mkubwa aina gani tutakushughulikia.
Maelezezo haya yalitokana na kile kinachoonekana kwamba wale wabunge 19 wamesaliti Chadema na wameshawashughulikia.
Haraka haraka nikapata mshituko kwamba, Usaliti anaupimaje?
Pili, Kipindi cha Nyuma alisemekana alisaliti serikali ya JMP hasa kwenye makinikia na badae ikasemekana hata kushughulikiwa kwake kulitokana na hayo makininikia.
Kama yeye anashughulikia wenzake, je Ilikuwa sahihi hata yeye kudhughulikiwa?
Maelezezo haya yalitokana na kile kinachoonekana kwamba wale wabunge 19 wamesaliti Chadema na wameshawashughulikia.
Haraka haraka nikapata mshituko kwamba, Usaliti anaupimaje?
Pili, Kipindi cha Nyuma alisemekana alisaliti serikali ya JMP hasa kwenye makinikia na badae ikasemekana hata kushughulikiwa kwake kulitokana na hayo makininikia.
Kama yeye anashughulikia wenzake, je Ilikuwa sahihi hata yeye kudhughulikiwa?