Tetesi: Tundu Lissu Asikitishwa na yanayoendelea Chadema na Uchaguzi 2020

Nakumbuka 2014 kuna uzi ulianzishwa ukisema Kama Lowasa akihama CCM, CDM mtampokea?

Wengi walikana kama wanavyokana leo. Matokeo yake ndo kama vile, watu waka abandon ID zao.

Kama haupo kwenye watu wanaoweza kufanya maamuzi acha ubishi, kwani ukinyamaza unakufa?

Tusije kimbia ID zetu humu.
 
Member since August 20, 2018 ndo maana unaleta propaganda za kishamba kwa ujira wa buku 7! Si urudi shamba ukalime tu kama mji umekushinda? Pathetic!
 
Jamaa yangu aliye ndani ya CDM (mbunge DSM) amenambia hili kwa uchungu sana. kuwa ndo maana kwa sasa Tundu Lissu ameamua kunyamaza kimya baada ya kuona wana chadema wameshamsahau na kuanza kumfikiria membe awe mgombea wao 2020.

ingawa yeye hajatangaza nia hiyo lakini alikuwa anaamini kuwa kwa yale aliyoyapitia ndani ya chama mpaka kutaka kuuawa leo hii wanachadema wasingekuwa watu wa kwenda mkumbatia fisadi membe joka la mdimu awe mgombea mwaka 2020. ni dhahiri shahiri kuwa wanaomtaka membe si wana ccm. ni wanachadema baada ya kuona anampinga sana magufuli au hakubaliki tayari wameanza kumwona ni shujaa kama ilivyokuwa kwa nape ambaye aligoma kuhama ccm.

anaumia sababu wanachadema wanaonekana wana ugonjwa mbaya sana wa kusahau na kukosa msimamo kwa kiwango kikubwa sana, huyu membe miaka 3 na nusu iliyopita alikuwa akisemwa hasa suala lake la kuhusishwa na kula pesa za ghadaff na kubadili dini ili apatwe uungwaji mkono wa urais. huyu huyu alihusika na yale mamilion ya pesa yaliyokamatwa dodoma kutoka kwa yule mhindi mfanyakazi wa yusufu manji ambaye alikuwa kambi ya membe.

membe huyu ambaye alijiaminisha kuwa yeye ndo alikuwa rais ajaye 2015 na kuwatangazia kabia ubaya maadui wake kuwa siku akishika urasi wahame nchi leo hii anakuwa shujaa mkubwa sana chadema. kinachomuuma tundu lissu ni kuwa badala ya chadema kuanza kutafuta mtu wa kumsimamisha mwaka 2020 wao tayari wameamua kumkumbatia membe mwana ccm wakidhani kuwa atatoka ccm aje chadema.

jamaa yangu huyo ambaye pia ni mbunge wa hapa dsm jimbo flani ameoneshwa kuhuzunishwa na wafuasi wa chadema wengi kutokuwa na uelewa na kujua nini wanataka kiasi kwamba wamekuwa kama watu wanaopapasa gizani wanashika hata waya wa umeme wakidhani ni kamba.
CHADEMA kumzungumzia Membe.....!!!!!
CHADEMA kumsahau Lisu..........!!!!!
This is purely childish......
Kama mtu unaweza tu kuwa na kautuuzima kidogo usingweza kuanzisha propoganda na uzushi wa aina hii.
Inatakiwa mtu uanzishe propoganda yenye evidence za kushabihiana na propoganda zako!
Lini CHADEMA ilimzungumzia membe?
Lini CHADEMA ilimtangaza Lisu kama mgombea uraisi wa 2020?
Purely childish.
 
Hivi , man u na arsenal walitoka ngapi ngapi vile ??
Hivi akitoka Magu si itakuwa zamu ya mwislamu kutawala au kautaratibu haka safari hii tunakakiuka. Ahaa nimekumbukaa niliwahi kusikia Mango alibadili dini ila sijui alijiita nani vile...???
 
Jamaa yangu aliye ndani ya CDM (mbunge DSM) amenambia hili kwa uchungu sana. kuwa ndo maana kwa sasa Tundu Lissu ameamua kunyamaza kimya baada ya kuona wana chadema wameshamsahau na kuanza kumfikiria membe awe mgombea wao 2020.

ingawa yeye hajatangaza nia hiyo lakini alikuwa anaamini kuwa kwa yale aliyoyapitia ndani ya chama mpaka kutaka kuuawa leo hii wanachadema wasingekuwa watu wa kwenda mkumbatia fisadi membe joka la mdimu awe mgombea mwaka 2020. ni dhahiri shahiri kuwa wanaomtaka membe si wana ccm. ni wanachadema baada ya kuona anampinga sana magufuli au hakubaliki tayari wameanza kumwona ni shujaa kama ilivyokuwa kwa nape ambaye aligoma kuhama ccm.

anaumia sababu wanachadema wanaonekana wana ugonjwa mbaya sana wa kusahau na kukosa msimamo kwa kiwango kikubwa sana, huyu membe miaka 3 na nusu iliyopita alikuwa akisemwa hasa suala lake la kuhusishwa na kula pesa za ghadaff na kubadili dini ili apatwe uungwaji mkono wa urais. huyu huyu alihusika na yale mamilion ya pesa yaliyokamatwa dodoma kutoka kwa yule mhindi mfanyakazi wa yusufu manji ambaye alikuwa kambi ya membe.

membe huyu ambaye alijiaminisha kuwa yeye ndo alikuwa rais ajaye 2015 na kuwatangazia kabia ubaya maadui wake kuwa siku akishika urasi wahame nchi leo hii anakuwa shujaa mkubwa sana chadema. kinachomuuma tundu lissu ni kuwa badala ya chadema kuanza kutafuta mtu wa kumsimamisha mwaka 2020 wao tayari wameamua kumkumbatia membe mwana ccm wakidhani kuwa atatoka ccm aje chadema.

jamaa yangu huyo ambaye pia ni mbunge wa hapa dsm jimbo flani ameoneshwa kuhuzunishwa na wafuasi wa chadema wengi kutokuwa na uelewa na kujua nini wanataka kiasi kwamba wamekuwa kama watu wanaopapasa gizani wanashika hata waya wa umeme wakidhani ni kamba.
Chadema wote ni nyumbu tuu. Hawajielewi, wanaenda na matukio
 
Kwahiyo huyo jamaa yako na TL wamekuteua wewe kubwa msemaji wao ? Propaganda za green Gamba hazinaga mashiko kabisa.
 
hivi kuna mtu aliye wagonga chadema kama mwigulu, nape na membe? mbona mnakuwa wasaulifu sana? mnasahau kuwa mzee wa goli la mkono ndo aliyesababisha leo hii watu mnahemea juu juu?

tayari mmeshasahau kazi aliyotenda mwigulu chaguzi zoooooooooote? mpaka mkaanza mchukia? kweli dunia duara.ukifika wakati atawagonga tena.
Aliyekwambia nyumbu ana kumbukumbu nani?
Tabia ya nyumbu hata akiona mwenzie anakamatwa na yeye anaenda hapohapo kuangalia
 
Hata mimi nimepenyezewa TL kachukizwa sana na kitendo cha Chadema kumpaisha Membe na kumsahau pamoja na maumivu anayopitia
 
Mbowe anawanyima usingizi mpaka mmepeleka mswaada bungeni kumdhiti
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom