Bill Lugano
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,186
- 6,402
- Thread starter
- #21
siyo mtembee na membe 2020? wewe unaonekana upo smart kichwani.
Ngoja tupiganie nyongeza ya mshahara kwanza
Ngoja tupiganie nyongeza ya mshahara kwanza
Jamaa yangu aliye ndani ya CDM (mbunge DSM) amenambia hili kwa uchungu sana. kuwa ndo maana kwa sasa Tundu Lissu ameamua kunyamaza kimya baada ya kuona wana chadema wameshamsahau na kuanza kumfikiria membe awe mgombea wao 2020.
ingawa yeye hajatangaza nia hiyo lakini alikuwa anaamini kuwa kwa yale aliyoyapitia ndani ya chama mpaka kutaka kuuawa leo hii wanachadema wasingekuwa watu wa kwenda mkumbatia fisadi membe joka la mdimu awe mgombea mwaka 2020. ni dhahiri shahiri kuwa wanaomtaka membe si wana ccm. ni wanachadema baada ya kuona anampinga sana magufuli au hakubaliki tayari wameanza kumwona ni shujaa kama ilivyokuwa kwa nape ambaye aligoma kuhama ccm.
anaumia sababu wanachadema wanaonekana wana ugonjwa mbaya sana wa kusahau na kukosa msimamo kwa kiwango kikubwa sana, huyu membe miaka 3 na nusu iliyopita alikuwa akisemwa hasa suala lake la kuhusishwa na kula pesa za ghadaff na kubadili dini ili apatwe uungwaji mkono wa urais. huyu huyu alihusika na yale mamilion ya pesa yaliyokamatwa dodoma kutoka kwa yule mhindi mfanyakazi wa yusufu manji ambaye alikuwa kambi ya membe.
membe huyu ambaye alijiaminisha kuwa yeye ndo alikuwa rais ajaye 2015 na kuwatangazia kabia ubaya maadui wake kuwa siku akishika urasi wahame nchi leo hii anakuwa shujaa mkubwa sana chadema. kinachomuuma tundu lissu ni kuwa badala ya chadema kuanza kutafuta mtu wa kumsimamisha mwaka 2020 wao tayari wameamua kumkumbatia membe mwana ccm wakidhani kuwa atatoka ccm aje chadema.
jamaa yangu huyo ambaye pia ni mbunge wa hapa dsm jimbo flani ameoneshwa kuhuzunishwa na wafuasi wa chadema wengi kutokuwa na uelewa na kujua nini wanataka kiasi kwamba wamekuwa kama watu wanaopapasa gizani wanashika hata waya wa umeme wakidhani ni kamba.
Aliyewabatiza nyumbu anasitahili tuzo.
Hawana mbele wa nyuma bora waendelee kuwa kivutio cha utalii tu lakini kwenye kushika madaraka ya nchi yetu noooo
Hivi uchaguzi ndani ya chadema uliishaje ama unaendeleaje!? Nakumbuka kulikuwa na taarifa za kufanyika uchaguzi ndani ya chama hicho mwaka huu.
CCM imekuwa kiwanda cha uong, uzushi na majungu. Ishu ya Membe ni ya ndani na imenoga kweli kweli mpaka mnaomba msaada kwa Team Lowasa ili kupambana na Team JK ambayo ndiyo iko nyuma ya BM.Ni kichaa tu anayeweza kuamini huu uzushi wako.Membe kawabana mbavu hadi raha.Sisi hatufanyi kosa tena kuchukua mtu toka CCM, na Tundu Lissu japo kuwa mlimmininia risasi nyingi ili kumtoa roho lakini kwa vile Mungu ana mpango naye kwa ustawi wa nchi hii kamnusuru na akili yake ni timamu kabisa tena ndiyo imekuwa katika kiwango cha juu cha ubora hivyo hawezi kuwa na fikra za kipumbavu kama unavyojaribu kushawishi, Malizeni wenyewe ishu ya Membe.
Unahaki ya kusema hivyo ukiwa kama msakatonge kama alivyiwaambia nape.Jamaa yangu aliye ndani ya CDM (mbunge DSM) amenambia hili kwa uchungu sana. kuwa ndo maana kwa sasa Tundu Lissu ameamua kunyamaza kimya baada ya kuona wana chadema wameshamsahau na kuanza kumfikiria membe awe mgombea wao 2020.
ingawa yeye hajatangaza nia hiyo lakini alikuwa anaamini kuwa kwa yale aliyoyapitia ndani ya chama mpaka kutaka kuuawa leo hii wanachadema wasingekuwa watu wa kwenda mkumbatia fisadi membe joka la mdimu awe mgombea mwaka 2020. ni dhahiri shahiri kuwa wanaomtaka membe si wana ccm. ni wanachadema baada ya kuona anampinga sana magufuli au hakubaliki tayari wameanza kumwona ni shujaa kama ilivyokuwa kwa nape ambaye aligoma kuhama ccm.
anaumia sababu wanachadema wanaonekana wana ugonjwa mbaya sana wa kusahau na kukosa msimamo kwa kiwango kikubwa sana, huyu membe miaka 3 na nusu iliyopita alikuwa akisemwa hasa suala lake la kuhusishwa na kula pesa za ghadaff na kubadili dini ili apatwe uungwaji mkono wa urais. huyu huyu alihusika na yale mamilion ya pesa yaliyokamatwa dodoma kutoka kwa yule mhindi mfanyakazi wa yusufu manji ambaye alikuwa kambi ya membe.
membe huyu ambaye alijiaminisha kuwa yeye ndo alikuwa rais ajaye 2015 na kuwatangazia kabia ubaya maadui wake kuwa siku akishika urasi wahame nchi leo hii anakuwa shujaa mkubwa sana chadema. kinachomuuma tundu lissu ni kuwa badala ya chadema kuanza kutafuta mtu wa kumsimamisha mwaka 2020 wao tayari wameamua kumkumbatia membe mwana ccm wakidhani kuwa atatoka ccm aje chadema.
jamaa yangu huyo ambaye pia ni mbunge wa hapa dsm jimbo flani ameoneshwa kuhuzunishwa na wafuasi wa chadema wengi kutokuwa na uelewa na kujua nini wanataka kiasi kwamba wamekuwa kama watu wanaopapasa gizani wanashika hata waya wa umeme wakidhani ni kamba.
Dah..mkuu lakini ni jukwaa la siasamuongo, mzushi na mzandiki wewe
aliyewabana ccm ni huyu hyu maembe????????????????????????? aiseeeee..... kweli kuna watu vilaza. ngoma ya membe nyie mnacheza bila kuifaham kinachoimbwa na midundo ya ngoma yenyewe. membe ni mtu mdogo sana ambaye hana madhara kabisa sema wanachotaka kukifanya ccm ni kuwapoteza maboya. nyie mtahangaika na membe hamtatafuta mgombea urais 2020 mwenzenu ataendelea kubak ccm wakati nyie mwishowe mnaamua kumsimamisha mbowe awe mgombea urais. kituko kingine.
Mimi huwa naoa,hasa wanaume kama wewe wanaopenda kujibanza ubavuni kwa wanaume wenzao ili wawe relevant kwenye jamii......unabana pua "eti jamaangu mbunge"wewe umeshaolewa mara ngapi na kuachika???????????
Huna akili wewe!Jamaa yangu aliye ndani ya CDM (mbunge DSM) amenambia hili kwa uchungu sana. kuwa ndo maana kwa sasa Tundu Lissu ameamua kunyamaza kimya baada ya kuona wana chadema wameshamsahau na kuanza kumfikiria membe awe mgombea wao 2020.
ingawa yeye hajatangaza nia hiyo lakini alikuwa anaamini kuwa kwa yale aliyoyapitia ndani ya chama mpaka kutaka kuuawa leo hii wanachadema wasingekuwa watu wa kwenda mkumbatia fisadi membe joka la mdimu awe mgombea mwaka 2020. ni dhahiri shahiri kuwa wanaomtaka membe si wana ccm. ni wanachadema baada ya kuona anampinga sana magufuli au hakubaliki tayari wameanza kumwona ni shujaa kama ilivyokuwa kwa nape ambaye aligoma kuhama ccm.
anaumia sababu wanachadema wanaonekana wana ugonjwa mbaya sana wa kusahau na kukosa msimamo kwa kiwango kikubwa sana, huyu membe miaka 3 na nusu iliyopita alikuwa akisemwa hasa suala lake la kuhusishwa na kula pesa za ghadaff na kubadili dini ili apatwe uungwaji mkono wa urais. huyu huyu alihusika na yale mamilion ya pesa yaliyokamatwa dodoma kutoka kwa yule mhindi mfanyakazi wa yusufu manji ambaye alikuwa kambi ya membe.
membe huyu ambaye alijiaminisha kuwa yeye ndo alikuwa rais ajaye 2015 na kuwatangazia kabia ubaya maadui wake kuwa siku akishika urasi wahame nchi leo hii anakuwa shujaa mkubwa sana chadema. kinachomuuma tundu lissu ni kuwa badala ya chadema kuanza kutafuta mtu wa kumsimamisha mwaka 2020 wao tayari wameamua kumkumbatia membe mwana ccm wakidhani kuwa atatoka ccm aje chadema.
jamaa yangu huyo ambaye pia ni mbunge wa hapa dsm jimbo flani ameoneshwa kuhuzunishwa na wafuasi wa chadema wengi kutokuwa na uelewa na kujua nini wanataka kiasi kwamba wamekuwa kama watu wanaopapasa gizani wanashika hata waya wa umeme wakidhani ni kamba.
Naamini kuna kitu huwa kinawatuma kufanya haya. Msijisahau mkapeleka kwenye familia, mkeo na wanenu watakudharau Sana. Jifunzeni kuandika ukweli sio kutunga.Hahaha bonge la posti. Cccc Mwanahabari Huru BAK na wanafiki wote mitaa ya ufipa inayoungua moto, mitaa ya ufipa ambayo kikamanda chao kipo segerea kikitoa huduma
Hakuna anayekudharau, mbona tuna waheshimu sana ila nyie ufipa ndiyo mnongoza kwa matusi na dharau. Mfano mbow kila kukicha ni matusi tu,Naamini kuna kitu huwa kinawatuma kufanya haya. Msijisahau mkapeleka kwenye familia, mkeo na wanenu watakudharau Sana. Jifunzeni kuandika ukweli sio kutunga.