Tetesi: Tundu Lissu Asikitishwa na yanayoendelea Chadema na Uchaguzi 2020

Jamaa yangu aliye ndani ya CDM (mbunge DSM) amenambia hili kwa uchungu sana. kuwa ndo maana kwa sasa Tundu Lissu ameamua kunyamaza kimya baada ya kuona wana chadema wameshamsahau na kuanza kumfikiria membe awe mgombea wao 2020.

ingawa yeye hajatangaza nia hiyo lakini alikuwa anaamini kuwa kwa yale aliyoyapitia ndani ya chama mpaka kutaka kuuawa leo hii wanachadema wasingekuwa watu wa kwenda mkumbatia fisadi membe joka la mdimu awe mgombea mwaka 2020. ni dhahiri shahiri kuwa wanaomtaka membe si wana ccm. ni wanachadema baada ya kuona anampinga sana magufuli au hakubaliki tayari wameanza kumwona ni shujaa kama ilivyokuwa kwa nape ambaye aligoma kuhama ccm.

anaumia sababu wanachadema wanaonekana wana ugonjwa mbaya sana wa kusahau na kukosa msimamo kwa kiwango kikubwa sana, huyu membe miaka 3 na nusu iliyopita alikuwa akisemwa hasa suala lake la kuhusishwa na kula pesa za ghadaff na kubadili dini ili apatwe uungwaji mkono wa urais. huyu huyu alihusika na yale mamilion ya pesa yaliyokamatwa dodoma kutoka kwa yule mhindi mfanyakazi wa yusufu manji ambaye alikuwa kambi ya membe.

membe huyu ambaye alijiaminisha kuwa yeye ndo alikuwa rais ajaye 2015 na kuwatangazia kabia ubaya maadui wake kuwa siku akishika urasi wahame nchi leo hii anakuwa shujaa mkubwa sana chadema. kinachomuuma tundu lissu ni kuwa badala ya chadema kuanza kutafuta mtu wa kumsimamisha mwaka 2020 wao tayari wameamua kumkumbatia membe mwana ccm wakidhani kuwa atatoka ccm aje chadema.

jamaa yangu huyo ambaye pia ni mbunge wa hapa dsm jimbo flani ameoneshwa kuhuzunishwa na wafuasi wa chadema wengi kutokuwa na uelewa na kujua nini wanataka kiasi kwamba wamekuwa kama watu wanaopapasa gizani wanashika hata waya wa umeme wakidhani ni kamba.


CCM imekuwa kiwanda cha uong, uzushi na majungu. Ishu ya Membe ni ya ndani na imenoga kweli kweli mpaka mnaomba msaada kwa Team Lowasa ili kupambana na Team JK ambayo ndiyo iko nyuma ya BM.Ni kichaa tu anayeweza kuamini huu uzushi wako.Membe kawabana mbavu hadi raha.Sisi hatufanyi kosa tena kuchukua mtu toka CCM, na Tundu Lissu japo kuwa mlimmininia risasi nyingi ili kumtoa roho lakini kwa vile Mungu ana mpango naye kwa ustawi wa nchi hii kamnusuru na akili yake ni timamu kabisa tena ndiyo imekuwa katika kiwango cha juu cha ubora hivyo hawezi kuwa na fikra za kipumbavu kama unavyojaribu kushawishi, Malizeni wenyewe ishu ya Membe.
 
Hata wakiumwa na nyoka hawahamaki nyasi zikitikisika, nyumbu kabisa, wacha waendelee kuliwa na predators..:D:D:D
 
Hivi uchaguzi ndani ya chadema uliishaje ama unaendeleaje!? Nakumbuka kulikuwa na taarifa za kufanyika uchaguzi ndani ya chama hicho kwa ngazi zote mwaka huu.
 
Aliyewabatiza nyumbu anasitahili tuzo.

Hawana mbele wa nyuma bora waendelee kuwa kivutio cha utalii tu lakini kwenye kushika madaraka ya nchi yetu noooo

Na nyie aliyewabatiza fisi kalenga kwel kweli.
FISIEM.jpeg
 
si ndo wanamtaka membe akagombee . kuna watu wapuuzi chadema.... hawa wanataka kukiharibu chama kwa kujaza mataka taka ya ccm huko. na wakat huo huo wanshindwa jisimamia wenyewe.
Hivi uchaguzi ndani ya chadema uliishaje ama unaendeleaje!? Nakumbuka kulikuwa na taarifa za kufanyika uchaguzi ndani ya chama hicho mwaka huu.
 
aliyewabana ccm ni huyu hyu maembe????????????????????????? aiseeeee..... kweli kuna watu vilaza. ngoma ya membe nyie mnacheza bila kuifaham kinachoimbwa na midundo ya ngoma yenyewe. membe ni mtu mdogo sana ambaye hana madhara kabisa sema wanachotaka kukifanya ccm ni kuwapoteza maboya. nyie mtahangaika na membe hamtatafuta mgombea urais 2020 mwenzenu ataendelea kubak ccm wakati nyie mwishowe mnaamua kumsimamisha mbowe awe mgombea urais. kituko kingine.

CCM imekuwa kiwanda cha uong, uzushi na majungu. Ishu ya Membe ni ya ndani na imenoga kweli kweli mpaka mnaomba msaada kwa Team Lowasa ili kupambana na Team JK ambayo ndiyo iko nyuma ya BM.Ni kichaa tu anayeweza kuamini huu uzushi wako.Membe kawabana mbavu hadi raha.Sisi hatufanyi kosa tena kuchukua mtu toka CCM, na Tundu Lissu japo kuwa mlimmininia risasi nyingi ili kumtoa roho lakini kwa vile Mungu ana mpango naye kwa ustawi wa nchi hii kamnusuru na akili yake ni timamu kabisa tena ndiyo imekuwa katika kiwango cha juu cha ubora hivyo hawezi kuwa na fikra za kipumbavu kama unavyojaribu kushawishi, Malizeni wenyewe ishu ya Membe.
 
Jamaa yangu aliye ndani ya CDM (mbunge DSM) amenambia hili kwa uchungu sana. kuwa ndo maana kwa sasa Tundu Lissu ameamua kunyamaza kimya baada ya kuona wana chadema wameshamsahau na kuanza kumfikiria membe awe mgombea wao 2020.

ingawa yeye hajatangaza nia hiyo lakini alikuwa anaamini kuwa kwa yale aliyoyapitia ndani ya chama mpaka kutaka kuuawa leo hii wanachadema wasingekuwa watu wa kwenda mkumbatia fisadi membe joka la mdimu awe mgombea mwaka 2020. ni dhahiri shahiri kuwa wanaomtaka membe si wana ccm. ni wanachadema baada ya kuona anampinga sana magufuli au hakubaliki tayari wameanza kumwona ni shujaa kama ilivyokuwa kwa nape ambaye aligoma kuhama ccm.

anaumia sababu wanachadema wanaonekana wana ugonjwa mbaya sana wa kusahau na kukosa msimamo kwa kiwango kikubwa sana, huyu membe miaka 3 na nusu iliyopita alikuwa akisemwa hasa suala lake la kuhusishwa na kula pesa za ghadaff na kubadili dini ili apatwe uungwaji mkono wa urais. huyu huyu alihusika na yale mamilion ya pesa yaliyokamatwa dodoma kutoka kwa yule mhindi mfanyakazi wa yusufu manji ambaye alikuwa kambi ya membe.

membe huyu ambaye alijiaminisha kuwa yeye ndo alikuwa rais ajaye 2015 na kuwatangazia kabia ubaya maadui wake kuwa siku akishika urasi wahame nchi leo hii anakuwa shujaa mkubwa sana chadema. kinachomuuma tundu lissu ni kuwa badala ya chadema kuanza kutafuta mtu wa kumsimamisha mwaka 2020 wao tayari wameamua kumkumbatia membe mwana ccm wakidhani kuwa atatoka ccm aje chadema.

jamaa yangu huyo ambaye pia ni mbunge wa hapa dsm jimbo flani ameoneshwa kuhuzunishwa na wafuasi wa chadema wengi kutokuwa na uelewa na kujua nini wanataka kiasi kwamba wamekuwa kama watu wanaopapasa gizani wanashika hata waya wa umeme wakidhani ni kamba.
Unahaki ya kusema hivyo ukiwa kama msakatonge kama alivyiwaambia nape.
 
Kwa ss hapo Lumumba kitengo cha propaganda hamnaga kbs,ila hata hivyo umejitahidi nenda kachukue buku 7 yako
 
Gonjwa la kubadili gia angani ni ambukizi sana. Linasambaa hadi lisambaratishe.
 
aliyewabana ccm ni huyu hyu maembe????????????????????????? aiseeeee..... kweli kuna watu vilaza. ngoma ya membe nyie mnacheza bila kuifaham kinachoimbwa na midundo ya ngoma yenyewe. membe ni mtu mdogo sana ambaye hana madhara kabisa sema wanachotaka kukifanya ccm ni kuwapoteza maboya. nyie mtahangaika na membe hamtatafuta mgombea urais 2020 mwenzenu ataendelea kubak ccm wakati nyie mwishowe mnaamua kumsimamisha mbowe awe mgombea urais. kituko kingine.

Kawashika masaburi huyo dadeki, mtakomaje?
 
Jamaa yangu aliye ndani ya CDM (mbunge DSM) amenambia hili kwa uchungu sana. kuwa ndo maana kwa sasa Tundu Lissu ameamua kunyamaza kimya baada ya kuona wana chadema wameshamsahau na kuanza kumfikiria membe awe mgombea wao 2020.

ingawa yeye hajatangaza nia hiyo lakini alikuwa anaamini kuwa kwa yale aliyoyapitia ndani ya chama mpaka kutaka kuuawa leo hii wanachadema wasingekuwa watu wa kwenda mkumbatia fisadi membe joka la mdimu awe mgombea mwaka 2020. ni dhahiri shahiri kuwa wanaomtaka membe si wana ccm. ni wanachadema baada ya kuona anampinga sana magufuli au hakubaliki tayari wameanza kumwona ni shujaa kama ilivyokuwa kwa nape ambaye aligoma kuhama ccm.

anaumia sababu wanachadema wanaonekana wana ugonjwa mbaya sana wa kusahau na kukosa msimamo kwa kiwango kikubwa sana, huyu membe miaka 3 na nusu iliyopita alikuwa akisemwa hasa suala lake la kuhusishwa na kula pesa za ghadaff na kubadili dini ili apatwe uungwaji mkono wa urais. huyu huyu alihusika na yale mamilion ya pesa yaliyokamatwa dodoma kutoka kwa yule mhindi mfanyakazi wa yusufu manji ambaye alikuwa kambi ya membe.

membe huyu ambaye alijiaminisha kuwa yeye ndo alikuwa rais ajaye 2015 na kuwatangazia kabia ubaya maadui wake kuwa siku akishika urasi wahame nchi leo hii anakuwa shujaa mkubwa sana chadema. kinachomuuma tundu lissu ni kuwa badala ya chadema kuanza kutafuta mtu wa kumsimamisha mwaka 2020 wao tayari wameamua kumkumbatia membe mwana ccm wakidhani kuwa atatoka ccm aje chadema.

jamaa yangu huyo ambaye pia ni mbunge wa hapa dsm jimbo flani ameoneshwa kuhuzunishwa na wafuasi wa chadema wengi kutokuwa na uelewa na kujua nini wanataka kiasi kwamba wamekuwa kama watu wanaopapasa gizani wanashika hata waya wa umeme wakidhani ni kamba.
Huna akili wewe!
 
Hahaha bonge la posti. Cccc Mwanahabari Huru BAK na wanafiki wote mitaa ya ufipa inayoungua moto, mitaa ya ufipa ambayo kikamanda chao kipo segerea kikitoa huduma
Naamini kuna kitu huwa kinawatuma kufanya haya. Msijisahau mkapeleka kwenye familia, mkeo na wanenu watakudharau Sana. Jifunzeni kuandika ukweli sio kutunga.
 
Naamini kuna kitu huwa kinawatuma kufanya haya. Msijisahau mkapeleka kwenye familia, mkeo na wanenu watakudharau Sana. Jifunzeni kuandika ukweli sio kutunga.
Hakuna anayekudharau, mbona tuna waheshimu sana ila nyie ufipa ndiyo mnongoza kwa matusi na dharau. Mfano mbow kila kukicha ni matusi tu,
 
Back
Top Bottom