nA VIKAO VYOTE VYA CHAWENE! KWELI WATU WAMEANZA KUJITAMBUANdo maanake, nao ni watumishi wa umma ambao mtukufu anahangaika waishi kama mashetani kwa kuzuia promosheni, ajira, nyongeza za mwaka, na stahiki zao mbalimbali...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nA VIKAO VYOTE VYA CHAWENE! KWELI WATU WAMEANZA KUJITAMBUANdo maanake, nao ni watumishi wa umma ambao mtukufu anahangaika waishi kama mashetani kwa kuzuia promosheni, ajira, nyongeza za mwaka, na stahiki zao mbalimbali...
Nimekuelewa sana ......
....Sauti ya Watu Sauti ya MUNGU Yametia
CC Great Thinkers
Ila kwa jinsi mambumbu yalivyochoka na hali mbaya, ukiitisha uchaguzi watapigwa mchana kweupeee!Leo nimegundua kuwa CCM inachaguliwa kwa wingi na mambumbumbu
If wishes were horses.....yah serikal itakuwa ktk wakat mgum sana sasa ukitaka kuyaamin haya jiulize kwann serikal ya bwana yule alikuwa anatumia nguv kubwa kumdhibit huyu lisu .nna hiki chama TLS xo serikal ipo ktk wakat mgum watakuwa wakat mgum kidogo..
It doesn't matter yeye ndiye rais wa TLS hata Magufuli alichaguliwa kwa percentage ndogo sana ya Watanzania almost 16% ya Watanzania wote.Basi mi nikadhani kulingana na kelele na mayowe na mashamsham yote yalokuwepo hao jamaa wangejitokeza kwa wingi ambao haujapata kutokea kumbe wapi!
Sasa kwa mfano hao 800 na kitu waliokuwepo jana leo wameishia wapi?
Hayo mahudhurio hayatii moyo kabisa.
Wametimiza wajibu wao pia, tuwape hongera.271itakuwa za jamaa waleeee
Teh teh tehInabidi madaktari wasikae mbali naye
Asante nadhani mkuu atakuwa amepata jibuInawezekana pia hao ambao hawakupiga kura wengi wao ni mawakili wasomi wa serikali...labda wameogopa kuitwa wasaliti.
HAIWEZEKANI? Sitaamini mpaka nikaone!!!! Duh ila kama kweli, shughuli pevu sasaasa!
Nifah, enjoy your evening as I am doing here in TG.Tayari mkuu,nimefurahi sana,sana.
Nimeishasema tangu awali kwamba ccm bila polisi karatasi ya mgololo ni nzito , hawana uwezo wowote .Haki imeshinda dhuluma.
Wenye wivu wajinyonge.