Tundu Lissu ashinda kesi ya kupinga ubunge wake

asante Mungu! Tatizo langu kubwa si comment kila kitu but kwa issue kama hii. I have to hongera kamanda LISSU wapi Makamba senior?
 
ccm bana nina uhakika hii hukumu aliyosoma huyu jaji ni tofauti na waliyomuambia aisome...kwa uamuzi huu sijaelewa maana ya kujaza askari singida leo...pole Mwema pole JK..bi kiroboto kazi unayo
 
Nasikia rahaaa sana!!

Wacha nikale ugali wa mtama, utumbo wa kuchoma na kichuri!!
 
Good news, it would cost the tax payers a lot of money for another byelection. Afterall the Man is a Man of Action. Congrats Dr. Lissu, CHADEMA LEADERSHIP, WANANCHI AND THE COURT.
 
Waliokuwa wanalalama kuwa mahakama hazitendi haki wako wapi?

Kama mnavyoikubali hukumu ya Lussu na ya Lema msilalamike. Mahakama hazina muda wa kufanya mchezo, nyinyi mlizowea mahakama za zamani wakati wa ujamaa, kila kitu anaamuuwa dikteta mmoja.

Hacha u lumpen wewe,hakuwahi kumsikia jaji mkuu mstaafu A . Ramadhani alipotamka adharani kua kuna baadhi ya kesi zinaamuliwa kwa matakwa ya serikali kwa maana ya kuingiliwa uhuru wa mahakama?
 
Tumeshafika mahakamani, wafuasi wa vyama mbalimbali vya siasa, wananchi wa Singida, na waandishi wa habari wapo wengi sana katika eneo la mahakama.

Polisi ni wengi sana, ndani na nje ya mahakama. Kilicho cha ajabu kidogo leo getini maofisa wote wakubwa wa jeshi la polisi wapo pale na kikosi maalumu kwa ajili ya kumkagua kila anayeingia mahakamani, tunapekuliwa hasa, hadi wabunge wanaoingia.

Kuna baadhi walikatazwa kuingiza magari yao mahakamani lakini baada ya vuta nikuvute, magari yapo mahakamani, na watu wamtinga ndani tunasubiri yatakayojiri.......... tutawajuza, leo kamanda nipo gado, Mungu amenijalia afya.

UPDATES:

Hukumu imesomwa kwa masaa mangapi?..je na Arusha ilisomwa masaa mangapi? hii ni kujua vodafasta ni ipi

 
Kesi iliyokuwa ikimukabiri mh. Tundu Lissu mbunge wa Singida Mashariki, hatimae imefika tamati kwa jaji kutupilia mbali madai ya walalamikaji.
 
Hongera Lisu sasa tunasubiri hukumu ya Mnyika kesi yake imeahiridhwa hadi wiki ijayo.
Hukumu ya Mahanga lazima angoke.
nliwaambieni Lisu hangoki i knew that.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom