Tundu Lissu asema watoto wake hawawezi kusoma shule za kata

Unajitambua sana mkuu, kuliko wote duniani
Very narrow minded. Kila kitu ukipewa unakinajisi.Kuambiwa kuna watu wasiojitambua akili yako Ikapata implication msemaji anajitambua na umeongezea KULIKO WOTE DUNIANI. Utakuwa mtu hatari kuliko uzao wa chetani. Wengi wataumia sana kwa kuwa tofauti na mtu km wewe,ktk mazingira unaweza watendea chochote. Uovu unaodhani unakufaa leo utakuwa ni majuto makubwa sana baadae kwako. Mkuu jitahidi sana kufanya vitu kwa uwezo wako ktk njia njema,ili siku ukitumia njia mbaya basi uwe na kitu cha kuhalalisha na itakuw ahivyo kwa vile akili yako haitokudanganya kuchagua njia rahisi yenye mafanikio mabaya .
 
Mkuu nashukuru sana kwa cheo ulichonipa ......Nakushauri na wewe kama unaona ufisadi ni dili ingia na wewe.... Pointi yangu ilikua kama kweli unampenda mtoto wako na huyakimbiii majukumu yako ya kulea na pia ukijua umuhimu wa elimu kwa mtoto wako mbaya zaidi ukiwa na ufahamu tosha wa kile kinachoendelea ndani ya baadhi ya hizo shule za kata naamin utapigana kufa kupona umpeleke mwanao shule itakayomsaidia kuujua ulimwengu na mambo yake na sio shule atakayoanza kukaa vikundi kuvuta mibangi na kufanya umalaya mwisho wa siku alete simanzi nyumbani
Ulimwengu wa leo haijalishi kama mtoto anaenda kwenye shule za kata au nyingine za kata ya kulipia. Leo tunaishi global. Wazazi wanahitaji kuwa na internet ya uhakika nyumnani na equipment. Hapa na maanisha PC au Laptop na Smartphone. Mmmh, ok ok ok na kingereza kidogo au lugha nyingine kama kispanish au kifaransa.
Kwa wale wanao weza kijap na kichina sio mbaya pia. Kiarabu no? Huko fundametalism na idiology ya dini is too much!
Mengine ni utundu wa wazazi kujua nini wawa elekeze watoto wao. Ingawa hata hivyo, ningependa ku admit, kwa wale ambao hawaja enda nje itakuwa kidogo vigumu kwani hawana uwezo wa kulinganisha mambo mengi ya kuwafundisha watoto wao.

Mtoto wangu anaenda shule hizo hizo za kata na za CCM kwa ajili ya social contact. Ni muhimu sana kwake.
Mtoto lazima ajifunze strategy ya kusurvive katika environment ambayo anaishi. Shule bora za kata ni hypotetic. Sio realistic. Huko anajifunza strategy ya maisha ambayo sio reality. Matokeo yake ndio hao viongozi wetu wengi ambao wanashindwa kuji identify wenyewe na real life ya mazingira yao.

Ni shida hiyo. Mnakuza Monsters ambao wanaleta chaos ya maisha kwa wazawa wenzao. Badala ya kuwa shupavu wanakuwa waoga wa maisha kwa sababu sisi wenyewe wazazi hatujiamina na yale tulio jifunza na vile vile yale tunayo yafanya.
Nafikiri tumeshudia wenyewe yaliyo tokea katika nchi yetu. Viongozi na watu wenye madaraka, wasomi wetu, walivyo shindwa ku control rasilimali zetu zika tusaidia wote! Ni haibu kubwa sana! Kama tusingekuwa na Magufuli tungekuwa wapi sasa?

Elimu ya kweli, maarifa na discipline hayo ata yapatapata nyumbani. Kama nilivyo sema hapo juu kwa vile kidogo niko katika privelege, nimewahi kuishi ng'ambo. Nina idea kidogo nini muhimu kwa mtoto wangu kujua.

Katika ulimwengu wa leo hakuna elimu ambayo ni bora, sio ile ya Tanzania, Afrika wala Amerika. Mfano mzuri wa ulimwengu ni Rais wa USA, Donald Trump. Wasomi wengi wa Harvard nao hivyo hivyo sio wa kuwategemea. Wanaaribu ulimwengu tu. Nao wana mawazo ya kifisadi kama wenzetu tulio nao humu nchini.

Kitu kimoja ambacho nimejifunza kwa ujumla katika maisha hapa nchini na nje ni self confidence. Self confidence ya ku weza ku communicate na watu na uwezo wa ku analyse mazingira tunayo ishi, respect kwa binadam nqebzako na kuwa na stamina ya kuchukua majukumu hata kama ni mazito ili kutatua matatizo tunayokabiliana nayo.

Mtoto akiwa ana self confidence itamsaidia sana kimaisha baadae kama tunavyo yaona kwa Rais wetu Magufuli.
Magufuli ni matokeo ya malezi bora aliyo yapata kutoka kwa wazazi wake na uwezo wake binafsi wa ku analyse mazingira ya sehemu au nchi anayo ishi. Respect kwa wananchi wenzake na upendo wa nchi anayo ishi. Pia uwezo wake wa kuchukua maamuzi hata kama sio rafiki kwa baadhi watu lakini anahakikisha ana yafanyia kazi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mzazi anayewish kumpleka mtoto wake kwenye shule za kufundisha ujinga. Ni umasikini wetu ndyo unatulazimisha. Ila ni wish ya kila mzazi hata aweze msomesha mwanaye international school au eglish mwdium

‍♂️naenda zimbobo.
 
Hakuna mzazi anayewish kumpleka mtoto wake kwenye shule za kufundisha ujinga. Ni umasikini wetu ndyo unatulazimisha. Ila ni wish ya kila mzazi hata aweze msomesha mwanaye international school au eglish mwdium

‍♂️naenda zimbobo.
 
Ni kwa nini mlete hii wakati kama huu. Hii siyo ugunduzi. Watoto wote wa viongozi hawasomi shule za kata so why bring this here?
 
Kwani chama chake kinaunda serkali?...yeye sio wa kulaumiwa kwani kila siku wnashauri bungeni kuhusu maboresho katika kila sector ikiwemo elimu...je! Ccm iko tayari kuyafanyia kazi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo ningependa tushee suala hili ambalo huenda likakufurahisha au kukushangaza

Binafsi nimefanya kazi au kukutana na Mh Tundu lissu zaidi ya mara nne, kwa namna fulani naweza kusema nafahamu machache ila huenda hili moja likakushangaza

Arusha ndio pahali pa mwisho kukutana na kuongea nae ana kwa ana na mh pale Uzunguni city park najua kwa wakazi wa arusha wanapahafahamu.

Mh alikuja pale ila style aliyokuwa anakula ndio ilitushangaza, pale tulikuwa watu wengi na meza nyingi sasa mheshimiwa alikuwa anakula kwa kudonyoa donyoa kila meza kwenye sahani zilizokuwa pale muda ule hadi akashiba. kwakweli mheshimiwa alishangaza watu wengi tuliokuwa pale kushuhudia nguli huyu wa siasa za demokrasia anavyokula

Mimi na wenzangu wote tuliokuwa pale tulifurahi sana alishangiliwa kwa kila neno alilokuwa analiongea

Alisema maneno haya "nakula kila sahani iliyopo hapa kama kufa tufe wote"

Hatukukawia sana mwenyeji wangu akawasha subaru tukaondoka
 
Mie watoto wangu hawatasoma shule yoyote ya serikali as long as niko hai. Na hata chuo ntahakikisha hawasomi Tanzania.
 
Wanasiasa na watu wenye majukumu nyeti wanakuwa makini sana kuhusu hatari ya food poisoning,sumu katika chakula
 
Hahaha....wiki hii kila MTU anataka aonekane ameandika thread kuhusu Tundu Lisu hata kama ni ya ovyo
 
Back
Top Bottom