tatizo wewe hujitambui, kwa hiyo unafikiria na yeye hajitambui pia.Chama siyo yeye. Tatizo anachukulia yeye ni zaidi ya chama kwasababu mabeberu wanamjua yeye. Anataka afanye fujo ili mabwana zake wazungu waone.
Rudi kamsikilize bila mihemko ya kijani labda utamuelewa