Tundu Lissu asema ameamua kwenda uhamishoni Ubelgiji kwa sababu ana hati ya ukaazi ya nchi hiyo

Serikali ya Tanzania inakataa uraia pacha kwa Watanzania halisi waliozaliwa na kukulia Tanzania ambao kila siku wanatuma mamilioni ya pesa nyumbani, kufungua miradi na kusaidia ndugu, jamaa na marafiki lakini wanawakubalia raia wa Caribbean kukaa Tanzania bila ya Visa. Huu ni ujinga wa hali ya juu unaofanywa na serikali ya CCM.

Na ndiyo mmezidi kuwapa sababu ya kuukataa zaidi uraia pacha, ...
 
Serikali ya Tanzania inakataa uraia pacha kwa Watanzania halisi waliozaliwa na kukulia Tanzania ambao kila siku wanatuma mamilioni ya pesa nyumbani, kufungua miradi na kusaidia ndugu, jamaa na marafiki lakini wanawakubalia raia wa Caribbean kukaa Tanzania bila ya Visa. Huu ni ujinga wa hali ya juu unaofanywa na serikali ya CCM.
Hakuna mtanzania aishiye nje anaweza kuja na mtaji wa maana wa kuwekeza Tanzania ni uongo wa hali ya juu! By the way mtu yeyote anaruhusiwa kuwekeza hapa TZ awe Mtanzania ama la!
 
Hii habari ipo mitandaoni tangu jana na alisema ana ruhusa ya kuishi nchini humo na sio kaenda kuomba hifadhi ya kisiasa bali tayari ana ruhusa kuishi nchini Ubelgiji.

Check her passport, he used a travel document. That means he is declared refugee in any definition. Amesha turudishia passport yetu.
Mpayukaji tu huyo.
 
Sasa unadhani hii wanamkomoa nani zaidi ya kupunguza ongezeko la vitega uchumi kwa nchi na upatikanaji wa ajira kwa raia wengi.

Siyo swala la kumkomoa yoyote yule, bali ni swala la kimtazamo tu, wana sababu zao za kwa nini hawaruhusu uraia pacha na watu kama Tundu wanazidi kuithibitishia Serikali kwamba wako sawa kugomea, ...
 
Hakuna mtanzania aishiye nje anaweza kuja na mtaji wa maana wa kuwekeza Tanzania ni uongo wa hali ya juu! By the way mtu yeyote anaruhusiwa kuwekeza hapa TZ au Mtanzania ama la!
Hii mentality ni ya kijinga sana na inaonyesha jinsi mlivyokuwa na mavichwa makubwa huku akili hamna hata kidogo. Hivi unadhani kila mtu lazima aje na mtaji wa dola milioni 1 au zaidi? Kuna watu wengi wana uwezo wa kufungua small businesses ambazo mara nyingi hutoa ajira kwa wengi na mtaji wake huwa si mkubwa sana. Marekani yenyewe uchumi unaendeshwa kwa kiasi kikubwa na wafanyabiashara wadogowadogo.
 
Hii mentality ni ya kijinga sana na inaonyesha jinsi mlivyokuwa na mavichwa makubwa huku akili hamna hata kidogo. Hivi unadhani kila mtu lazima aje na mtaji wa dola milioni 1 au zaidi? Kuna watu wengi wana uwezo wa kufungua small businesses ambazo mara nyingi hutoa ajira kwa wengi na mtaji wake huwa si mkubwa sana. Marekani yenyewe uchumi unaendeshwa kwa kiasi kikubwa na wafanyabiashara wadogowadogo.
Hujawahi kuishi huko wewe! Mtu mweusi ulaya na Marekani hasa ambaye siyo raia wa kuzaliwa is nothing!! Huwezi ukatoka na pesa na kuja kuwekeza huku Afrika. Zipo nchi za Afrika zilizo na dual citizenship nipe mfano mmoja tu Mwafrika aliyeko Ulaya au Marekani ambaye amepata pesa huko akajakuwekeza nchini mwake? Sana sana atakuwa anatoa pesa Afrika na kupeleka kwa mabeberu. Sisi wengine tuna uzoefu na huko mkuu! Acha mambo ya kusikia wanaotaka dual citizenship zaidi zaidi ni wahindi ili watumie nafasi hiyo kuiba kirahisi huku Afrika na kupeleka Ulaya na USA kama wakina Manji.
 
Check her passport, he used a travel document. That means he is declared refugee in any definition. Amesha turudishia passport yetu.
Mpayukaji tu huyo.

..Lissu amepewa passport mpya na serikali.
 
Check her passport, he used a travel document. That means he is declared refugee in any definition. Amesha turudishia passport yetu.
Mpayukaji tu huyo.
TL anakupa makavu live, mpayukaji na yeyote mwenye akili TIMAMU anajua pasipo kujipendekeza ni Jiwe.
 
Kama unataka connection ya kwenda kuishi Canada na Australia sema, achana na kumuonea wivu Lissu kwa kwenda zake kuishi mamtoni!
Canada na Australia hawazungumzi Kisukuma wala hawataki vilaza wa Tanzania wenye PhD za jalalani ambao hata hapa hawaajiriki ndo maana wanatafuta uteuzi humu kwa kuunga mkono juhudi zisizokuwepo. Ubelgiji wanazungumza Kifaransa na msomi Mh. Lissu anakubalika popote duniani maana anajua lughà nyingi isipokuwa Kisukuma na Kitutsi. Bure elimu ni bure kabisa!
 
Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema mh Tundu Lissu amewasili salama salimini nchini Ubelgiji.

Tundu Lissu amesema ameamua kwenda kuishi Ubelgiji na siyo sehemu nyingine kwa sababu ameshakaa nchini humo kwa miaka mitatu na kwamba ana hati ya ukaazi ya nchi hiyo.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia

Maendeleo hayana vyama!
Umeshawahi kusoma kitabu cha The Art of War cha Tsu Nzu?
 
Huyu kibaraka nilikuwa nam-zoom harafu namuonea huruma sana,yaani jasho lilikuwa linamtoka hadi matakoni akiamini kabisa atakuwa rais wa Tanzania, tena bila aibu lilikuwa linasema eti uchaguzi wa mwaka huu ni wa kihistoria,haujawahi kutokea,na kweli umekuwa wa kihistoria maana chadema kupoteza viti vyote bungeni ni historia ambayo hakuna mwanachadema awaye atakaa asahau.
 
Back
Top Bottom