Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
- Thread starter
- #41
Na wewe umetumia mb zako ku commentHuyu mtu anatibiwa au ameamua kuzurura kujitafutia kiki ya dunia?busara ingekuwa amalize tiba yake, arudi nyumbani watu wampe pole zake, asaidie pia polisi kutoa ushahidi wake, halafu ajipange sasa rasmi na Chama chake na wampe agenda ya kuzungumza akiwa huko. Huo ungekuwa in utratibu mzuri kuliko anvyo Fanya sasa
Sent using Jamii Forums mobile app