Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria mkuu wa Chadema, Mhe.Tundu Lissu amewasili mji wa Houston na kupewa mapokezi makubwa.
Atafanya mkutano na watanzania waishio maeneo ya Houston, Nevada, Carlifonia na maeneo jirani leo kuanzia saa kumi hadi saa 12 jioni kwa saa za Huston. Mkutano huo utafanyika OMN Houston Hotel.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atafanya mkutano na watanzania waishio maeneo ya Houston, Nevada, Carlifonia na maeneo jirani leo kuanzia saa kumi hadi saa 12 jioni kwa saa za Huston. Mkutano huo utafanyika OMN Houston Hotel.
Sent using Jamii Forums mobile app