Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,257
- 8,775
Tundu anakwenda kula mabilioni yake aliochangiwa na mabeberu
Kama alishindwa kuleta Mageuzi akiwa nchini,hatoweza kuleta Mageuzi kwa Twitter,ni majuha tu ndio watamuelewa
Tutegemee Tundu akirudi akiwa mzee ,kachoka Kama Abdulrahman Babu na Oscar Kambona,
Nyinyi mabilioni yenu wapelekeeni warundi mliokodisha majeshi yao na kuwavika sare za Polisi wa TZ