Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,593
- 2,380
Nimefuatilia mazungumzo kati ya Tundu lissu(MP) na diaspora kutoka Washington DC(USA) kwamba anawajua waliompiga risasi siku ya Sept 7 eneo la Area D jijini Dodoma.
Anasema anawajua kwa majina na watatajwa akiwa hai au amekufa.
Kwa maoni yangu juu ya hili ni kwamba siku ya tukio dereva pamoja na tundu lissu (MP) waliwaona kwa macho yao wote waliohusika katika tukio lile kwa hiyo ni kiasi cha muda tu mambo yote yatakua hadharani.
Nini maoni yako juu ya taarifa hii kujulikana kwa majina yao wahusika waliofanya kitendo hicho
Sent using Jamii Forums mobile app
Anasema anawajua kwa majina na watatajwa akiwa hai au amekufa.
Kwa maoni yangu juu ya hili ni kwamba siku ya tukio dereva pamoja na tundu lissu (MP) waliwaona kwa macho yao wote waliohusika katika tukio lile kwa hiyo ni kiasi cha muda tu mambo yote yatakua hadharani.
Nini maoni yako juu ya taarifa hii kujulikana kwa majina yao wahusika waliofanya kitendo hicho
Sent using Jamii Forums mobile app