Tundu lissu anamwaga cheche ofisi za chadema tawi la saut.

TUNDU LISSU taifa tunakutegemea. hebu tunusuru watu wa mgodi wa bulyuhulu. wameajiliwa watoto wa wakubwa sasa imekuwa kasheshe kwa wafanyakazi.hakuna cha kufata shelia ni amli tu . wazungu wamekata tanzania tunaomba msada mungu isaidie tanzania chadema hoyeeeee
 
Ndiyo wakuu! Katika mwendelezo wa usalama wa Taifa kugeuka uhasama wa Taifa ,leo mhadhara wa Mh.Tindu Lisu kuhusu utaratibu wa kutengeneza katiba na matatizo ya urais wa kifalme umezuiliwa katka mazingira tatanishi baada ya kupata ruhusa jana toka uongozi wa chuo.MWL NYERERE ALIPATA KUSEMA"CHUO KIKUU NI TAASISI YA ELIMU YA JUU AMBAPO AKILI YA BINADAMU HUFUNDISHWA KUFIKIRI KWA UHURU,KINA NA KUCHAMBUA PAMOJA NA KUTATUA MATATIZO KWA HALI YA JUU. SIKO TAYARI KUWAONA WASOMI WAKIPIGA MAGOTI KWA DHANA YA NIDHAMU YA WOGA KWA WATAWALA BALI KATIKA KULINDA MISINGI YA KIKATIBA KWA KUHESHIMU UHURU WAO WA KUELEZA FIKRA NA DHAMIRA YAO KWA MSTAKABALI WA NCHI YAO " Ombwe la uongozi limekuwa sifa ya serikali ya ccm, nchi hii imekumbwa na inaendelea kukumbwa na matatzo mengi sana kamavile madawa ya kulevya,dawa feki,mayai feki, utoroshwaji wa twiga na pembe za ndovu , sumu kwa Mwakyembe, wizi wa madini yetu,ubadhirifu wa pesa za umma karibia taasisi zote za serikali,wizi wa mitihani,uchakachuaji wa kura,ufisadi n.k hawa usalama wa Taifa wanafanya kazi gani kama si makanjanja? Tazama tunaelekea kwenye mchakato wa katiba mpya lakini bado wasomi vyuoni wananywimwa fursa ya kupata elimu hii tena free of charge. KARL MAX ALIPATA KUSEMA" YOU CAN LIQUADATE A PERSON/ORGANISATION BUT CHANGES ARE UNAVOIDABLE." Serikali ya ccm ilipolifikisha Taifa hili hapa ni vigumu sana kuuzima huu upepo wa mabadilko ,kwa kufanya hivo ni sawa na tembo kujificha kwenye shamba la maharage.Kumuzuia Tindu Lisu kufanya mhadhara chuoni ni sawa na kumpiga chura mteke kwani unampunguzia umbali wa kutembea. Hicho ndo kilicho tokea leo kwani Kamanda Lisu kafikisha ujumbe kupitia viwanja vya tawi la Cdm-SAUT huku akiwa amezungukwa na halaiki kubwa ya wasomi na raia wanaozunguka chuo hicho. MUNGU BARIKI TANZANIA,MUNGU BARIKI ACTIVISM. Naomba kuwasilisha.
 
Hata Zito Kabwe ,mwaka 2007, alizuiwa kuingia UDSM kuongea na jumuiya ya wanafunzi.
Hata hivyo, miaka ya hivi karibuni utawala wa UDSM umeanza kurejesha utamaduni wa mijadala.
 
Big up kijana Tundu Lisu, kazi unayoifanya ni ya kujenga Taifa siyo tu kukijenga Chama. keep it up brother.....
 
This is real a good move, apite vyuo vyote tz kufanya vikao/mihadhara ya namna hiyo.kitaeleweka
 
Ni bora haujaona. Tena waambie na wenzako muendelee hivo hivo mkijafumbuka macho tupo ikuru.
Peoplessssssssssssssss''''

haujaona jipya kwa sababu hautaki kukubali ukweli endelea kufumba macho na kuziba masikio ndio tabia yenu magamba
 
Anachambua juu ya mamlaka ya raisi kuwateua majaji, anadai hii ni kuingilia mhimili wa mahakama. Anadai kwasasa ili uteuliwe kuwa jaji lazima ujipendekeze kwa serikali.,na akaongeza "huwezi kuung'ata mkono unaokupa chakula" anadai niwachache sana wanaoweza kutenda haki juu ya kesi zinazoihusu serikali. Analaumu katiba hii mbovu mizizi yake ni Nyerere. Anadai enzi wakati anaingia UDSM kitu chakwanza alichoulizwa ni kadi ya CCM...!
ALIPOULIZWA KADI YA CCM ALISEMAJE??AU ALIKUWA NAYo??
 
ALIPOULIZWA KADI YA CCM ALISEMAJE??AU ALIKUWA NAYo??

ilikua lazima uwenayo ndo uweze kudahiliwa, hata kwenda JKT lazima uwenayo hata km hukipendi chama. Hapa alikua anajaribu kuonesha mizizi ya ubaguzi tangu enzi za mwalimu.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom