Ambokile Amanzi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2018
- 965
- 1,330
Anatumia Uhuru wake wa kujieleza kwa mujibu wa Katiba.Sasa kama anakuja kufungua kelele za nini?Je katiba inampa haki ya kushutumu na kuhukumu tena akiwa ughaibuni?
Sent using Jamii Forums mobile app