Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Yaani ya Lissu ndiyo unayaona ?! . Hawa wanaowabagua WaTz walioamua kuchagua vyama vingine badala ya CCM unawasemeaJe ?! .Kwa namna unavyomdhalisha Rais wetu sidhani kama anaweza kukukabidhi nchi.kumbuka kampeni ni kama interview wakati wa interview lazima uwe mnyenyekevu. Mimi kama mimi ningekuwa Rais ukanidhalilisha kwa namna hii hata kwa mtutu siwezi kukupa nchi.
Wewe unasema eti Rais ni Muuaji! Hivi kweli mwanasheria nguli kama wewe unaweza kusema kuwa Rais ni Muuaji wakati huna clear evidence? Lugha yako hii na mahubiri yako haya yanaligawa ttaifa. NEC mnatakiwa kumfungia milele huyu, hafanyi kapeni kwa ajiri ya kutafuta kura bali kwa sasa anafanya vita ya maneno na naweza kuiita cold war.
Jamani tukumbuke kuwa sisi ni binadamu ,tunapita .kesho upo kesho kutwa haipo.leo utakuwa Rais kesho utakuwa raia wa kawaida. Tukumbuke watoto wetu na wajukuu wetu. Yunataka kutengeneza taifa mithiri ya Somalia, Burundi, Rwanda, Libya, Syria, Iraq etc.