figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Salaam Wakuu,
Kwenye Kampeni za Uchaguzi, Wagombea wanalazimishwa kuongea Kiswahili au wawe na Mkalimani pale penye ulazima.
Sasa inakuaje Lissu Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA anaongea kilugha halafu Tume ya Uchaguzi(NEC) inachekelea?
Lissu afungiwe tena siku saba ili ajue hatutaki ukabila.
Hotuba ya Lissu Singida ifanyiwe review.
Mia.
Kwenye Kampeni za Uchaguzi, Wagombea wanalazimishwa kuongea Kiswahili au wawe na Mkalimani pale penye ulazima.
Sasa inakuaje Lissu Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA anaongea kilugha halafu Tume ya Uchaguzi(NEC) inachekelea?
Lissu afungiwe tena siku saba ili ajue hatutaki ukabila.
Hotuba ya Lissu Singida ifanyiwe review.
Mia.