Ndiyo ni mwizi amepeleka fedha Mayanga contractor kujenga uwanja wa ndege wa Chato bila idhini ya Bunge.Ukisikiliza Hotuba zake za Kagera, utaona TL anaanza kutumia lugha chafu na za kichochezi...
Kwani nani alijiita jiwe?Hata Mimi nimeshangaa kuna mahala anatumia lugha ambayo haipaswi kutolewa na mtu anayegombea nafasi muhimu kama hii.Wale viongozi wawili wa dini ina maana hawamshauri? Hata kumuita mgombea mwenzake "jiwe" I don't think it is fair. Pia sioni kama anawanadi vizuri wagombea udiwani.
Labda cha maana ulichozungumza ni hicho kilugha tu🤔Lisu doesn't practice what he speaks
Walengwa walikuwa ni serikali au wananchi walioadhirika? Wizi mtupu!Kwenye like tetemeko michango ilifika bil 900? Bill gates alitoa bil 200? Kuhusu kutumika si zilikarabati majengo ya serikali! Au hufahamu? Acha kupinga kila kitu
Yeye alietuhumiwa ndie mwenye wajibu wa kushtaki ili anaemtuhumu atoe ushahidi wa tuhuma! sasa kama mtuhumiwa yupo kimya, basi wewe muaminishe anaetuhumu kuwa tuhuma zake si za kweli!!Ukisikiliza Hotuba zake za Kagera, utaona TL anaanza kutumia lugha chafu na za kichochezi...
Hayo mengine mimi sijui,ila kudanganya bil 900+200 ni upuuzi.Walengwa walikuwa ni serikali au wananchi walioadhirika? Wizi mtupu!
Sera zipo na nyie hamtaki kuzisikia ndo tatizo linapoanzia hapo.
Ndiyo, ni lugha zisizo furahisha maskioni mwa baadhi yetu, kama hizi zinazo toka vinywani mwa wana CCM dhidi ya LissuHata Mimi nimeshangaa kuna mahala anatumia lugha ambayo haipaswi kutolewa na mtu anayegombea nafasi muhimu kama hii.Wale viongozi wawili wa dini ina maana hawamshauri? Hata kumuita mgombea mwenzake "jiwe" I don't think it is fair. Pia sioni kama anawanadi vizuri wagombea udiwani.
Wewe mwenyewe mtoto wa Jiwe unapata buku 7 kuharisha hapaSawa,kawadanganyeni watoto.
MTU akitete Ushoga Anaeeza Ongea lolote akadhani yupo sawa ila ni Tabia za Hii Jamuiya ya Kishoga kuwa na tabia zisizoeleweka Na ili umwelewe lazima nawe uwe mshiriki Wa Jumuiya Hiyo ndio maana Hakuna Mwana CCM atamwelewa Lissu au Kuwaelewa CHADEMA Hawa Wakikuambia HAKI inaminywa Hawazungumzii Haki nyingine yoyote WANAZUNGUMZIA HAKI YA USHOGA...Ukisikiliza Hotuba zake za Kagera, utaona TL anaanza kutumia lugha chafu na za kichochezi...
Mara ngapi mmemuita Rais Mhutu?Mara ngapi umemwita mbelgiji?
Mwanasheria niambie kuvamia mabenk, kupora korosho, kupiga rambirambi za watu Ni kitu gani hiki kisheria?Ukisikiliza Hotuba zake za Kagera, utaona TL anaanza kutumia lugha chafu na za kichochezi...
Hawezi kukanusha kwa mropokaji ambaye hana ushahidiKitendo cha kutokanusha kimetupa uhakika pasi na kivuli cha shaka kuwa jiwe ni mwizi
Kwani unahitaji Ushahidi gani Kujua mgombea wa CCM ni mwizi?Ukisikiliza Hotuba zake za Kagera, utaona TL anaanza kutumia lugha chafu na za kichochezi...
Eti, plain thuggeryMwanasheria niambie kuvamia mabenk, kupora korosho, kupiga rambirambi za watu Ni kitu gani hiki kisheria?
Bado Mambo Ni mengi kwanza aeleze rambirambi za tetemeko la Kagera kapeleka wapi ? Orodha ya michango yote ipo , Kama sio wizi nini ?Ukisikiliza Hotuba zake za Kagera, utaona TL anaanza kutumia lugha chafu na za kichochezi.
Lissu amekuwa na mvuto, sijui kwanini ameanza kujiletea utata kwa matusi na tuhuma asizo na ushahidi nazo, Amemwiita Raisi Magufuli Mwizi pamoja na MaRaisi wote waliopita isipokuwa Nyerere.
Yeye ni mwana Sheria na anajua mafunzo yake ya sheria yanasema " INNOCENT UNTIL PROVEN GUILTY", sasa sijui ni sheria gani anayoitumia kuwaita waheshimiwa hawa wezi, na kama anao ushahidi kama ni wezi, kwa nini asiwafungulie kesi na iwapo mahakama itawahukumu, basi hata sie tutakuwa na haki ya kuwaita wezi.
Lissu anazungumzia HAKI, na anailaumu awamu hii kuwa haitendi haki. Jee yeye hapa anatenda haki?? TL Practice what you preach