mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,665
- 37,213
Muulize Lissu acha ulopolopo. Lissu aliposema kwa mara ya kwanza kuwa JPM kazima mlibisha, hili la mlinzi wake naye kutangulia mbele za haki, sio jipya, na Rais hana mlinzi mmoja. Mtafute Lissu akutajie jina kama unalihitaji!
hata saa mbovu kuna wakati mishale inaangukia penyewe,
ila sio kwei kwamba ina uzima.