Tundu Lissu amponza Kangi Lugola

chaliko

Senior Member
Apr 1, 2019
180
802
Salaam wote,

Hii ni nyuma ya Pazia

Siku za hivi karibuni kwenye Mitandao ya Kijamii zimeonekana picha mbalimbali za Wakili Msomi Tundu Lissu akiwa pamoja na baadhi ya Wanachama wa CHADEMA.

Picha hizi zimepigwa kwenye Mazingira halisi ya Tanzania na ni Picha za Majuzi tu baada ya Mh. Tundu Lissu kupona.

Kilicho-mkera NAMBA 1 ni kuziona picha hizi wakati hakuwa na taarifa zozote juu ya ujio wa Mh. Tundu Lissu.

Maswali aliyo jiuliza Namba 1 na hata sisi wadau.

1. Tundu Lissu alikuja lini Tanzania?

2. Alikuja kufanya nini?

3. Alikuja na nani?

4. Aliondoka lini?

5. Je Jeshi la Polisi lilikuwa halina habari na ujio huo?

6. Je wanao-ongoza Intelijensia yetu wapo sawa?

Haya maswali yamepelekea Mh. Kangi Lugola kutumbuliwa kwa sababu vitengo vyake vimeshindwa kupata Majibu ya uhakika.

[ Hii habari ya kutumbuliwakl kwa sababu ya ku-saini mkataba ni uongo kwa sababu hizi

1. Kabla ya ku-saini Mkataba - IKULU ILIJUA

3. Aina ya Mkataba - IKULU ILIJUA

3. Nani alitoa kibali Cha yeye kwenda Romania - IKULU

NB: Mkataba ni Porojo ila ukweli ni huo Nyuma ya Pazia ]

I stand to be corrected

Nawasilisha.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado hujarudi chuo tu?
Huyu yupo chuo ,mbona kilaza sana


USSR
Screenshot_20200126-200602.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndo maana mi kama nikileta thread basi naleta zile za kawaida tu zilizo ndani ya uwezo wangu. threads za kiintelejinsia zinahitaji akili kubwa na kujipanga. kinyume na hapo utaonekana hamnazo tu!! aliyeelewa tafadhali
 
Bongo ukiskia habari za NYUMA YA PAZIA ujue ni uzushi. Walishaleta taharuki kwa kuleta habari fake za kifo.

Waziri wa Mambo ya Ndani ndio boss wa Intelligence? Na zimamoto linahusika nini na Tundu Lisu?
 
kwa hyo zimamoto siku nacho ni kitengo cha intelligensia?Achana na hizi ramli jiwe mwezi ukiinama na huku anataka public attention na amekuchoka baada ya kukutumia anakutoa kafara.Kwake sifa ni mhimu kuliko ubinadam hata anaweza kuua
Hiyo ilikuwa ni namna ya kusawazisha mambo ili kuficha sababu ya msingi.

Hebu Jiulize;

1. Waziri anaweza kusafiri kwenda Nje ya Nchi bila Mh. Raisi kujua?

2. Waziri anaweza ku-saini Mkataba bila Mh. Raisi kujua?

3. Waziri anaweza kurudi toka Nje ya Nchi na akaendelea na Shughuli take bila kupeleka Ripoti kwa Mh. Raisi?


NB:
KAMA MH. RAISI ALIJUA KUWA MH. KANGI ANAENDA KUSAINI MKATABA WA HOVYO KWA NINI HAKUMZUI ASIENDE?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom