Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amjibu Magufuli: Kama kweli anampenda aseme wakina nani walimpiga risasi, na kwanini alimnyima pesa ya matibabu

Huyu Mkuu angekaa tu kimya maana kuendeleza Vijembe na huyo Mwanasheria Ni kuibua Mengine ambayo yalisahaulika.Maana alivyojibiwa hadi nimeona huruma.
 
1-Uchunguzi unaendelea na hauwezi kukamilika hadi ahojiwe key person lakini kafichwa na Chadema ambaye ni Dereva wa lissu
2-Matibabu yana taratibu zake kisheria na kwa kuwa Chadema hawakutaka kufuata taratibu hizo isingekuwa rahisi serikali kugharamia matibabu ya mtu asiyetaka kufuata utaratibu.
3-Ilikuwa ni lazima afukuzwe Ubunge kwa mujibu wa sheria maana alikuwa ni mtoro sugu wa Bunge japo alikuwa anatibiwa huko alikokuwa lakini mamlaka zilikuwa hazimtambui kama zilivyokuwa kwenye gharama za matibabu.
4-Wakati wanazindua kampeni pale Mbagala Zakhiem walikuwepo TBC lakini baada ya kuona TBC wanatumia Drone kuchukua picha za mahali pale Chadema wakaona wanaumbuka kwa kukosa watu ndo Mwenyekiti wa Chadema akatumia staili ya kuwapumbaza wafuasi wake eti TBC imekata matangazo akawatimua kihuni kutoka hapo viwanjani, ilishangaza kwa kweli maana tulikuwa tunafuatilia live sasa aliposema TBC wamekata matangazo tukabaki na mshangao.
Uteuzi na utenguzi wa kijinga wa Magufuli umehamasisha wajinga wengi kujitokeza kuhalalisha ujinga wa mamlaka.
1. Key person wa kupigwa risasi Tundu Lissu ni yeye mwenye na bahati nzuri yu hai na sasa hivi yupo hata Polisi amefika kudai gari lake. Dreva wake ni shaidi tu muhimu ambaye kutokuwepo kwake hakuwezi kutatiza Polisi mahili kufanya uchunguzi wao.
2. Serikali inayoongoza nchi kwa kufuata Utawala wa Sheria hugharimia matibabu ya wafanyakazi wake wote ambao sharti la kutibiwa bure ni moja ya masharti ya ajira zao akiugua au kuumia akiwa kazini. Mfanyakazi mtoro hujulikana na kuchukuliwa hatua baada ya kuhojiwa na kujitetea kusikoridhisha.
3. Serikali zote kabla ya hii ya Awamu ya Tano zilifuata Sheria ya Usalama Kazini iliyomwekea Mwajiri taratibu za kumfukuza kazi mfanyakazi ilibidi, taratibu ambazo Ndugai hakuzifuata na Magufuli kuafiki hatua iliyochukuliwa.
4. Wafuatiliaji wa Mkutano ule kwenye TV tulichukizwa sana na kitendo cha TBC kutoonyeshe tulichotegemea kuona na kusikia wao walitaka tuone na kusikia waliyotaka waliowatuma. CHADEMA walifanya vizuri kuwafurusha vinginevyo sisi tungewafurusha CHADEMA.
Nakutakia uteuzi kabla ya Uchaguzi!
 
Uteuzi na utenguzi wa kijinga wa Magufuli umehamasisha wajinga wengi kujitokeza kuhalalisha ujinga wa mamlaka.
1. Key person wa kupigwa risasi Tundu Lissu ni yeye mwenye na bahati nzuri yu hai na sasa hivi yupo hata Polisi amefika kudai gari lake. Dreva wake ni shaidi tu muhimu ambaye kutokuwepo kwake hakuwezi kutatiza Polisi mahili kufanya uchunguzi wao.
2. Serikali inayoongoza nchi kwa kufuata Utawala wa Sheria hugharimia matibabu ya wafanyakazi wake wote ambao sharti la kutibiwa bure ni moja ya masharti ya ajira zao akiugua au kuumia akiwa kazini. Mfanyakazi mtoro hujulikana na kuchukuliwa hatua baada ya kuhojiwa na kujitetea kusikoridhisha.
3. Serikali zote kabla ya hii ya Awamu ya Tano zilifuata Sheria ya Usalama Kazini iliyomwekea Mwajiri taratibu za kumfukuza kazi mfanyakazi ilibidi, taratibu ambazo Ndugai hakuzifuata na Magufuli kuafiki hatua iliyochukuliwa.
4. Wafuatiliaji wa Mkutano ule kwenye TV tulichukizwa sana na kitendo cha TBC kutoonyeshe tulichotegemea kuona na kusikia wao walitaka tuone na kusikia waliyotaka waliowatuma. CHADEMA walifanya vizuri kuwafurusha vinginevyo sisi tungewafurusha CHADEMA.
Nakutakia uteuzi kabla ya Uchaguzi!
1- Uchunguzi huujui
2- Taratibu za matibabu huzijui
3- Ubunge siyo ajira
4- Unapoanza kuminya vyombo vya habari wakati unatafuta uongozi maana yake ni kwamba hutufai kutuongoza

Mimi nina ajira isiyohitaji uteuzi maana kwa akili zenu huwa mnadhani kwamba hiyo hoja huwa ni ya msingi kumbe zilipendwa
 
“Kwakuwa amesema ananipenda kama alivyodai akiwa Ikungi, Singida aseme ni akina nani walionipiga risasi 16,

Kwakuwa ananipenda aseme ni kwanini alininyima pesa za matibabu baada ya kupigwa risasi.." Mhe. Tundu A Lissu.

"Kwakuwa amesema ananipenda aseme ni nani aliyemkusudia auawe katika hotuba yake aliyoitoa wakati akipokea ripoti ya madini na kusema kuwa anamsumbua sumbua katika agenda yake ya madini na kwamba bora msaliti auwawe"-; Mhe Lissu

Waiompiga Lissu risasi 16, yeye Lissu anawajua na kuwafahamu pamoja na dereva wake ndio maana hawataki kabisa kumsalimisha. Hivi huko kuchanganyikiwa hakujamuisha huyo dereva.
 
Waiompiga Lissu risasi 16, yeye Lissu anawajua na kuwafahamu pamoja na dereva wake ndio maana hawataki kabisa kumsalimisha. Hivi huko kuchanganyikiwa hakujamuisha huyo dereva.
mtu alifiwa na mume wake au ndgu yake kusahau inahtaji kichwa kigumu sio kila mtu anasahau jambo haraka
 
Nguvu ya umma iko hapa jf labda, Tanzania haijafikia huko mnakoota nyie.Acheni kubwekea huku.
Najua huijui nguvu ya teknolojia kwani bado upo Zama za mawe za kale! Hapa ndio njia sahihi, ya uhakika na yenye Kasi katika kupata na kutumia taarifa! Wewe endelea kuudharau majukwaa ya kijamii!
 
Najua huijui nguvu ya teknolojia kwani bado upo Zama za mawe za kale! Hapa ndio njia sahihi, ya uhakika na yenye Kasi katika kupata na kutumia taarifa! Wewe endelea kuudharau majukwaa ya kijamii!
Katika majukwaa yote ya kijamii ninayopita, kwa asilimia kubwa wabwekaji wa chadema wapo hapa jf.Kwakua chadema Haina hata wanachama 3 million, na hata Kama inao Basi sio wote wako chadema,Amini nakwambia hakuna chochote Cha kuogopwa.Endelea kubweka wewe unaejiona mjanja 😂😂, Ila kaa ukijua, Chadema haitaingia ikulu, leo mpaka Kiama.Labda Kama huko mbeleni kitakuja Chama kingine.🚶🚶
 
😂😂, Watu waingie barabarani, jiwe akimbie wapi😲? Hata sisi tunauwezo wa kuingia road kumpambania,msitutishe na slogan zenu mitamdaoni ambazo hamuwezi kizitekeleza.Tutadeal na kila kima, atakaejaribu kuleta upumbavu.🚶🚶🚶🚶
hapo ndo utam ulipo sasa. ikifikia hapo hiyo game policcm wakae pembeni kichapo kitembee watu waheshimiane.
ccm wanapenda sana kusikia upinzani ukisema "tumemwachia Mungu". mwaka huu hamna hiyo. na hapo ukumbuke ze hegi wapo macho wanafuatilia tu mchezo tratiiiiibu
 
😂😂, Watu waingie barabarani, jiwe akimbie wapi😲? Hata sisi tunauwezo wa kuingia road kumpambania,msitutishe na slogan zenu mitamdaoni ambazo hamuwezi kizitekeleza.Tutadeal na kila kima, atakaejaribu kuleta upumbavu.🚶🚶🚶🚶
hapo ndo utam ulipo sasa. ikifikia hapo hiyo game policcm wakae pembeni kichapo kitembee watu waheshimiane.
ccm wanapenda sana kusikia upinzani ukisema "tumemwachia Mungu". mwaka huu hamna hiyo. na hapo ze hegi wapo macho wanafuatilia tu mchezo tratiiiiibu
 
Katika majukwaa yote ya kijamii ninayopita, kwa asilimia kubwa wabwekaji wa chadema wapo hapa jf.Kwakua chadema Haina hata wanachama 3 million, na hata Kama inao Basi sio wote wako chadema,Amini nakwambia hakuna chochote Cha kuogopwa.Endelea kubweka wewe unaejiona mjanja 😂😂, Ila kaa ukijua, Chadema haitaingia ikulu, leo mpaka Kiama.Labda Kama huko mbeleni kitakuja Chama kingine.🚶🚶
Huna mamlaka hayo Bali mtazamo finyu! Itoshe tu kukuambia kuwa ikulu Haina mwenye kuimiliki kwa maana ya chama chochote kinaweza kuitumia Kama wananchi wakiamua! Na ccm Haina hati miliki ya kukaa ikulu daima dawamu! Usijidanganye na speculation zako ambazo huna uhakika nazo!
 
hapo ndo utam ulipo sasa. ikifikia hapo hiyo game policcm wakae pembeni kichapo kitembee watu waheshimiane.
ccm wanapenda sana kusikia upinzani ukisema "tumemwachia Mungu". mwaka huu hamna hiyo. na hapo ukumbuke ze hegi wapo macho wanafuatilia tu mchezo tratiiiiibu
Nyie endeleeni kujifariji 😂😂 eti the hegi, hii ngoma itaisha kimyakimya Kama kawaida yake.
 
Mnafiki kweli kweli bwana huyu:

1. Uchunguzi kuwabaini wauwaji uko wapi?
2. Matibabu kamnyima
3. Ubunge wamemfukuza
4. Vyombo vya habari anamnyima

Hayo mapenzi yameanza lini?

Mshamba sana huyu bwana.
Bwana Yule anaweza kukata pumzi wakati akiwa jukwaani mara tu atakapokumbuka unyama anaotendea wengine.
 
Back
Top Bottom