Bro kwema?Amuombee pia malinda yasipokonywe,
Tundu lisu ni lini akawa na mapenzi na magufuli mpaka aulize tuko wapi?
Mbona hatwambii alipo R Amsterdam na vimashitaka vyake, pamoja na familia yake na wanafanya nini huko?
Vipi mbona salam asubuhiBro kwema?
Dah!Tundulisu amekosea. Raisi atakapoonekana hadharani atapata aibu.
Wengi wanaomshambulia kimsingi hawafahamu haki zao kikatiba so wanaona kama anakosea kumbe anatimiza wajibu wake kama mwananchi wa kawaida na hajavunja sheria yoyote kikatiba. "Nothing more nothing less"