KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Waachieni viongozi wenu walijadili hili kwa uangalifu.
Sio swala la kuwafurahisha CCM, bali ni swala la waTanzania wote.
Hakuna sababu ya kuwepo msuguano wowote katika hili. Na ni rahisi sana kuligeuza hili lionekane kuwa baya upande wenu katika macho ya waTanzania kama hamtachukua tahadhari.
Lissu atakaribishwa sana wakati wowote na popote na umati wa waTanzania wote wenye mapenzi na nchi yetu.
Ni kiasi cha kupanga tu vizuri mapokezi hayo.
Sio swala la kuwafurahisha CCM, bali ni swala la waTanzania wote.
Hakuna sababu ya kuwepo msuguano wowote katika hili. Na ni rahisi sana kuligeuza hili lionekane kuwa baya upande wenu katika macho ya waTanzania kama hamtachukua tahadhari.
Lissu atakaribishwa sana wakati wowote na popote na umati wa waTanzania wote wenye mapenzi na nchi yetu.
Ni kiasi cha kupanga tu vizuri mapokezi hayo.