Ha ha ha ..Kampeni hizi mtatoana roho 😄Anataka nini na vitu, si aogelee. Kivuko ni maendeleo ya vitu. Mnakuwa wapumbavu hadi mnapitiliza!
Wacha makelele yako, hata wakoloni walijenga reli na madaraja.Anataka nini na vitu, si aogelee. Kivuko ni maendeleo ya vitu. Mnakuwa wapumbavu hadi mnapitiliza!
Tupo serious sanaKwa mara ya pili katika kipindi hiki cha kampeni, bila sababu za msingi, hamna kivuko cha [URL='. Yote ni kwa ajili ya kuzuia tusifike huko. Sasa tutavuka kivingine na tutafanya mkutano kama ilivyo ratiba!
Haturudi nyuma!
Alikuwa anatania tu kama alivyotania mkuu wa wanawake weusi.Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!
Kumbe ni vya CCM punguza hasira Magufuli mbeba maonoAnataka nini na vitu, si aogelee. Kivuko ni maendeleo ya vitu. Mnakuwa wapumbavu hadi mnapitiliza!
Acheni Mzee Apumzike Mtamuua Kwa Pressure!!Huyu mwamba watamuhadithia kwenye machapisho yao kwa jinsi anavyowahenyesha.
Uovu haujawahi kuushinda wema,mwisho was you're Oct.28Upande wa pili wanasemaje kuhusu kivuko? Uchaguzi huu una mambo mengi sana na uongo uongo na ujanja vikiwemo.
Hawajamuonea wanampa field umuhimu wa maendeleo ya vitu, ili kwenye mkutano wake akaseme vizuri.Kwa mara ya pili katika kipindi hiki cha kampeni, bila sababu za msingi, hamna kivuko cha [URL='. Yote ni kwa ajili ya kuzuia tusifike huko. Sasa tutavuka kivingine na tutafanya mkutano kama ilivyo ratiba!
Haturudi nyuma!
Mkuu hiki kichwa nakivulia kofia na leo kwa mara ya kwanza nampa mkono, "neema ya Mungu iwe pamoja naye"Ama kwa hakika kama Chadema kwenye uchaguzi huu wangemsimamisha mtu legelege basi cha moto wangekiona. Huyu jamaa anapambana kwelikweli!
View attachment 1599690
Na ziwani humo humo anasalimiana na wavuvi
View attachment 1599699
Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!
Acheni Mzee Apumzike Mtamuua Kwa PressureHaki ya Mungu kweli uchaguzi huu umepata mtu aah 😲!, huu ni ujasiri wa namna ya pekee sana, kuna kitu/watu fulani wanajifunza na kuelewa maana ya kuponea kwenye tundu la sindano na baadaye kuwa na ujasiri kama tunauona.
Jamani, hivi si walianza kuitana huko huko CCM, sasa watu wanaiga unasema hawafai.Lissu ni mtu wa hovyo na domo lake halina breki.. Hafai hata kuwa konda wa dala dala.. Ana mitusi kuliko fundi umeme wa Tanesco.
He has no respect for any one big or small.. Kama anathubutu kumvunjia heshima kiongozi wa nchi kwa kumwita mshamba, je? Ataweza kumuheshimu nani mwingine!