Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,503
- 12,166
msubiri akipona umuulizeAlienda kuripoti!?
Hiyo cd iliishabuma!Watu waliopo juu kutoka kutoka taasisi ipi?
Ref: The late Chacha Wangwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga tuMagufuli kama Kagame
Usitutoe nje ya mada lisu sii mjinga kushindwa kuwa accommodate kama wangwe, wangwe alikuwa pro ccm ye na zitoWatu waliopo juu kutoka kutoka taasisi ipi?
Ref: The late Chacha Wangwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Alienda kutoa report ya taarifa Polisi hiyo kuwa anataka kuuwawa?
Unajua mnaanza kutoa Hukumu hata hakuna kesi yenyewe!
Hata kwa akina Mbowe na LowassaLissu amekua mwiba mchungu sana kwa watawala!
Na Tundu Lissu asipokuja kuwataja hao waliohusika na tukio la kutaka kumuua, na akishapona halaf akiendelea kusema ni watu waliooko juu ndio wanahusika bila hata kutoa hints ni kina nani na kwenda kufungua mashtaka polisi basi madai yake yote ni batili kwa 99%,Aliye husika anajulikana kilichobaki ni ushahidi tu. Udhalimu huwa una mwisho wake. Jambo la hovyo kabisa hili kuwahi tokea katika nchi yetu.