Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aliwahi kuisaidia nini Tanzania? Mwenye uelewa atuelezee

Upoloto ni like kilichojaza fuvu lako! Lupem ameuliza swali murua kwa mtu yeyote mwenye utimamu wa akili! Pamoja na Kuwa ww mzoefu humu lakini upeo wako upo chini mpaka hata ni aibu kujiita mxoefu wa jf!
Wewe ni mkimbiza mwenge tu ndiyo elimu yako. Na kula yako inategemea ulipwe Buk 7 na Pole Pole pale Lumumba.
 
Ndugu wana bodi! Habari zenu!

Nikiwa kijana mdogo ,mwaka 1995 ,baba wa Taifa mwalimu Nyerere ,wakati akitueleza umuhimu wa uchaguzi na kuchagua viongozi bora wa taifa hili,alituasa kuwa ,tuchague viongozi watakao lisaidia taifa letu.

Mwalimu alisema kwamba ,miongoni mwa
siasa za kiongozi anayefaa kuwa Rais wa nchi hii,ni yule ambaye amewahi kuisaidia au kuifanyia maendeleo nchi yake ya Tanzania.

Tunapotaka kuchagua
kiongozi wa nchi hii ya Tanzania lazima tujue kuwa amewahi kuisaidia au kuifanyia nini cha maana nchi yake ya Tanzania.Mwalimu alienda mbali kwa kutoa mfano wa Rais

John F.Kennedy wa Marekani ,mwaka 1963 ,aliwaambia wamerekani ,wanataka awafanyie nini na sio wao wamfanyie nin.

Ni wakati muafaka kwa watanzania,kumuuliza ndugu Lissu ,JE amewahi kuifanyia au kuisadia nini Tanzania mpaka agombea cheo kikubwa kama urais?
Maana mimi naona kama amekuwa mtu wa kashifa tu.Je tutaongozwa kwa kashifa na kufika uchumi wa juu?Tumchague sasa DR MAGUFULI ILI ATUPELEKE
UCHUMI WA JUU.

Naomba tujenge hoja.TUACHE MATUSI :
Unaongea utumbo wewe, Kabla Magufuli hajawa rais aliisaidia vipi Tanzania??? Utaongea utumbo tena alijenga Madaraja.....Ni kwa pesa zake au za serikali ya Tanzania? Lissu na Magufuli wote walikuwa wabunge na wote walikuwa na kazi katika jamii...ingawa hawakuifanya bure walilipwa mishahara. Ukiwa kazini lazima unatakiwa ufanye kazi na kulipwa mishahara, Mmeshaanza kumwabudu Magufuli. Hiyo ni akili fupi.
 
Kiufupi hakuna Mtanzania aliyepigania haki za mikataba ya madini kumzidi Tundu Lissu toka Tanganyika ipate uhuru toka kwa Mkoloni Mwingereza.

Kama uzalendo ungekuwa unapimwa kwa kutetea haki za madini kwa wazawa basi Tundu Lissu angekuwa ndiye Mzalendo Namba 1. Msidanganywe na propaganda za Magufuri na Kabudi.

Atakayebisha hili anaweza hata akamkataa mama yake aliyemzaa.
 
Sio kwamba ameisaidia Tz ila anataka kuiangamiza Tz kwa usaliti wake. Akipewa uongozi nia yake bad o ni kuiangamiza Tz
 
Kiufupi hakuna Mtanzania aliyepigania haki za mikataba ya madini kumzidi Tundu Lissu toka Tanganyika ipate uhuru toka kwa Mkoloni Mwingereza.

Kama uzalendo ungekuwa unapimwa kwa kutetea haki za madini kwa wazawa basi Tundu Lissu angekuwa ndiye Mzalendo Namba 1. Msidanganywe na propaganda za Magufuri na Kabudi.

Atakayebisha hili anaweza hata akamkataa mama yake aliyemzaa.
Umeongea ukweli....Huyo Magufuli toka ameingia madarakani watu wamepotea wengi, wameuawa na kupigwa risasi ovyo. Tunajua serikali ina mkono kwenye haya mauaji.
 
..hili ni andiko la Tundu Lissu akiwajibu wale waliokuwa wakihoji uzalendo wake na uadilifu wake kwa Tanzania.

IN FULL SPIRIT OF PATRIOTISM

I'm what I'm and always have been. A militant and uncompromising crusader for rights, justice and truth.

I've always stood on the side of the people against the abusers of power.

Twenty years ago, in '97, I stood on the side of the Rufiji Delta communities when Mkapa and his cronies in government wanted to sell the Rufiji Delta to Reginald Nolan, the Irish investor and arms dealer of the 80s.

Where was your Magufuli if I may ask???

He's serving in the Mkapa government that wanted to give the Rufiji Delta to Nolan.

From '99 on I took up the fight against the Mkapa government and its mining policies and its human rights abuses on behalf of the foreign mining companies you now call thieves.

Who stood by the Bulyanhulu community to demand justice and truth for the massacre of the artisanal miners there in '96???

Or for the forced evictions of the artisans and peasant communities in Lusu, Nzega; Nyamongo, Tarime and Geita???

I did, Magufuli served in the government that was terrorizing the communities in those, and many other, areas.

Who's the first person to raise the clarion call that mining companies were robbing us clean???

I did. Magufuli served in the government that was helping those companies to rob us clean.

And who, between me and your Magufuli, was the faithful servant of Kikwete at the time of Tegeta Escrow and many other such robberies of our national treasury???

Where was Magufuli when our people were being killed and brutalized during Operesheni Tokomeza and Operesheni Kimbunga???

I, and a few other courageous people, stood up and took positions on the side of our people.

I don't remember Magufuli taking any position that would have harmed his ministerial position.

He kept silent when patriotism demanded he speak out.

Those of us who stood up and were counted are now being denounced as unpatriotic simply for catching the emperor with his dirty pants down.

We're now being hunted down and jailed like common criminals, while the real criminals are being feted as patriots.

We'll not be intimidated.

We'll not be silenced.

We'll take whatever blows rained on us like the men we're.
Thanks for a patriotic history of TL
 
Thread sa hivi naomba tuwe na umoja wetu tusijibu kabisa just view rudi rudi back ...atajibiwa na wenzake wanaopokea 7000
 
Back
Top Bottom