Tundu Lissu alivyokuwa anatudanganya kuwa mchanga wa makinikia sio mali yetu ni mali ya wazungu

Sheria sio shida issue ni usimamizi. Hta sheria inataka local content iwepo ila hadi nyundo na misumari inaagizwa nje bado!!

Mie simchukii JPM ni Rais wangu ingawa sikumpigia na sitompigia kura mwaka huu. Kwahiyo nampongeza kwa hatua alizochukua hta kma bado ni kiduchu sana ingawa sipendi zinavyokuzwa kuliko uhalisia.

Alafu nipo hpa kukanusha rasmi kuwa Lissu ni msaliti ni yye alianza hii vita tokea enzi za Mkapa kwahyo ningeomba apewe heshima anayostahili na sio kejeli.

Naomba kuwasilisha
Unadhani bila kukomaa uzalishaji ungesimama kwa miaka minne kule Bulyanhulu? Kwa hiyo unavyopongeza upo sawa. Lakini mtu anaweza kuwa sio msaliti lakini baadae akabadilika.
Kama sio msaliti mbona alikuwa anatisha kuwa tutashitaliwa. Ina maana alikuwa hajui kuwa kuna voidable contracts?
 
Unadhani bila kukomaa uzalishaji ungesimama kwa miaka minne kule Bulyanhulu? Kwa hiyo unavyopongeza upo sawa. Lakini mtu anaweza kuwa sio msaliti lakini baadae akabadilika.
Kama sio msaliti mbona alikuwa anatisha kuwa tutashitaliwa. Ina maana alikuwa hajui kuwa kuna voidable contracts?
Lissu alishauri tu mkuu hakuenda kufungua kesi kortini kuipinga serikali hapo angekua msaliti.

Msaliti asingeshauri tubadili sheria, wala kujitoa MIGA. Alichopinga ni approach ya mabavu basi.

Unajua idea inaweza kuwa nzuri ila mchakato wa utekelezaji ukawa mbovu. Hta UKAWA hawakukataa katiba ila mchakato; so ni kosa kusema Lisu alipinga mabadiliko hpn alipinga MCHAKATO wa hayo mabadiliko.
 
Hata hiyo $ 100 M kuna ambao hawaipati. Shukuru kwa kila jambo mkuu, ukilalamika sana unakufuru Mungu.
Ha haha! Umenichekesha sana Phillipo, yaani tumepigwa tunaishia kusema "shukuru kwa kila jambo?"
Nchi inafika mahali inashukuru kama Athumani badala ya kuzingatia sheria inasemaje kuhusu deni hilo la TRA?
Kweli tumekuwa mdebwedo kabisa!
Haya ngoja tushukuru kwa kila jambo, hata wangeamua tutolipa familillah Mungu anajua LA kuwafanya mabeberu hata kama ni kuwageuza kuku sawa tuu
 
Katika kipindi ambacho wanasiasa wa upinzan wanatakiwa kua makini na maneno wanayo ongea ni muda huu wa Rais John Pombe Magufuli sababu wanakuwa Kama wanajichafua wenyewe pale wanapo ongea kitu ambacho baadae kinaenda kuwa faida kwa yule ambae walitaka kumuathiri

Tukianzia kwenye Jambo la Corona kila siku linazid kuwazalilisha mbele za watu na kufanya Rais magufuli kuendelea kuwapa wakat mgumu

Mh tundulisu aliwahi kusema kua mchanga wa makinikia Sio Mali ya watanzania ni Mali ya wazungu na wanaweza kuupeleka popote pale wanapo taka bila kuulizwa na mtu yeyote Yan maneno Ayo alikua anayaongea mtanzania ambae anasema kila siku kua anataka kutuokoa watanzania kweli? Mh tundulisu wazungu walikupa nn ukafika mbali na kusema kua watanzania tutashtakiwa kes ambayo itatufiris sababu ya kuwaziwia wazungu kuchukua makinikia leo kiko wapi?

Mh Rais magufuli angelisikia maneno yako naiman mpaka sasaiv tungekua tumekubal kua makinikia Sio Mali yetu ni Mali ya wazungu japo ipo kwenye nchi yetu na kuacha waendelee kuchotea tu?

Ila kwakua Mh Rais John Pombe Magufuli Sio mzembe na Wala hajawahi kuogopa Wala kukata Tamaaa na anaamin kila kilichopo kwenye ardh ya Tanzania ni Mali ya mtanzania hakukubali ujinga uendelee kututawala akafanya maamuzi magum yalio fanya leo Tanzania tumetoka kidedea haki yetu ambayo ilipotea kwa muda mrefu imeanza kurejea

Pia nawashangaa wazee wa kupinga kila kitu hawana ata aibu eti sasahivi mada wameona ni serekal kukubali m200kulipwa kwa awam wakat mwanzo walibeza na kusema kua makinikia Sio Mali za watanzania Bali wazungu

Mh tundulisu embu ungama


Mob Uzi hii inajitegemea please Kama hamto jali na kwa ridhaa yenu msiunganishe huu Uzi kwenye Uzi zingine Mana Uzi zangu nyingi nikiweka zinapelekwa kwenye Uzi zingine asanteni

Huo ni uelewa wako finyu
 
Upinzani bwana wanavyoonekana wakipewa nchi watazingua sana watasainisha kila aina ya mkataba
 
Bro wote ni watz na tuna akili timamu.

Kama angekuwa na nia ya kushauri asingetumia jazba na matusi kwa JPM "Raisi wa ovyo... maamuzi ya ovyo...

Kwanza alitakiwa ku support kuzuia unyonywaji.

Pili angeshauri ama kukosoa kwa kujenga.

He was mad na yelling kutokana na kutetea wateja wake Barrick ambao walimuweka kwenye payroll baada ya kuwanyanyasa sana.

Alitumia fear tactics na panics zake kumtisha JPM alinde maslahi ya weupe.

Ni msaliti. Na hata sasa katusaliti. Angerudi nchini tungempokea kama shujaa na angeamsha hari ya upinzani. Iweje ananasa Ulaya kama mzalendo kweli? Tena kwa kulamba uraia. Shujaa wetu anakuwaje mwoga?

Jitahidini kutushawishi ila ukweli tunaujua zaidi.
Lakini haibadili ukweli kuwa hyo option ipo na kama ingetokea wame exercise ingekua changamoto kwetu.

Ndio maana hapo Lissu alishauri tujitoe kabla hatujayazuia ili kusiwepo na upenyo.

Intellectualls walimuelewa Lissu kwamba issue sio kuzuia makontena bali kubadilisha sheria. Hvi sheria ikisema mchanga uchenjuliwe TZ (if at all tuna vinu) automatically mchanga usingepelekwa nje na hatungeweza kushtakiwa popote hta kma ingetokea wamekwazika sababu sheria zetu zinahalalisha.

Kwahiyo ICSID cjui Int'l chamber of commerce ama arbitrary nyingine kusingekuwa na hoja dhidi yetu. Sijui mnavyosema msaliti huwa mnakaririshwa na nani.
 
Mwandiko kama wabata, ccm kumejaa vilaza nimeamini Leo maneno yako kuyasoma mpaka labda Mangula arudi apone sumu aliyopewa machattttle
Uelewa wangu mwandiko ni hand writing tu kumbe hata ukichagua tu Tahoma na font unakuwa mwandiko wako! Nipeni pole!
 
Bro wote ni watz na tuna akili timamu.

Kama angekuwa na nia ya kushauri asingetumia jazba na matusi kwa JPM "Raisi wa ovyo... maamuzi ya ovyo...

Kwanza alitakiwa ku support kuzuia unyonywaji.

Pili angeshauri ama kukosoa kwa kujenga.

He was mad na yelling kutokana na kutetea wateja wake Barrick ambao walimuweka kwenye payroll baada ya kuwanyanyasa sana.

Alitumia fear tactics na panics zake kumtisha JPM alinde maslahi ya weupe.

Ni msaliti. Na hata sasa katusaliti. Angerudi nchini tungempokea kama shujaa na angeamsha hari ya upinzani. Iweje ananasa Ulaya kama mzalendo kweli? Tena kwa kulamba uraia. Shujaa wetu anakuwaje mwoga?

Jitahidini kutushawishi ila ukweli tunaujua zaidi.
1. Lissu ameandika hadi kitabu cha kitaaluma kuhusu wizi wa madini nchini na alitoa mapendekezo jinsi ya kusolve na ameshafungwa sana na Acacia sababu ya kupambana nao huko Tulawaka na nyamongo sasa kivp aitwe msaliti?

2. Lissu alishauri tu tujitoe MIGA na Tubadili sheria ili wasipate upenyo wa kutushtaki, sasa huo ni uoga au risk mitigation strategy?

3. Lissu amekubali Acacia ni wezi ndio maana kasema wachunguzwe na migodini pia sio makontena pekee. Sasa mtu yupo kwa payroll angewabana hivi?

4. Lissu anaogopa kurudi kutokana na usalama wake ila ana wafuasi mamilioni tu wanaomuelewa sana kwa hoja zake nzito hasa bungeni kwenye kuichuja miswada mibovu, kwahiyo ww kumchukia hakubadilishi huo ukweli na hta cku akienda CCM atapewa uwaziri wa sheria!!

Mkuu tuache chuki binafsi, inahitaji akili kubwa kumuelewa lissu kwamba unapohitaji kumbana mwizi usimuachie upenyo wa kukutoroka!! But kageuka msaliti!!

Weird
 
Ha haha! Umenichekesha sana Phillipo, yaani tumepigwa tunaishia kusema "shukuru kwa kila jambo?"
Nchi inafika mahali inashukuru kama Athumani badala ya kuzingatia sheria inasemaje kuhusu deni hilo la TRA?
Kweli tumekuwa mdebwedo kabisa!
Haya ngoja tushukuru kwa kila jambo, hata wangeamua tutolipa familillah Mungu anajua LA kuwafanya mabeberu hata kama ni kuwageuza kuku sawa tuu


Umepigwa na nani? Kwani madini yako kwenye Machame?
 
Mbona aliponda wakat tumejitoa kwenye mahakama. Ya AFRICA msitufanye wajinga pia lisu kusema tujitoe kule ulikua mtego na tungesubutu angekua amemaliza kazi yake
1. Lissu ameandika hadi kitabu cha kitaaluma kuhusu wizi wa madini nchini na alitoa mapendekezo jinsi ya kusolve na ameshafungwa sana na Acacia sababu ya kupambana nao huko Tulawaka na nyamongo sasa kivp aitwe msaliti?

2. Lissu alishauri tu tujitoe MIGA na Tubadili sheria ili wasipate upenyo wa kutushtaki, sasa huo ni uoga au risk mitigation strategy?

3. Lissu amekubali Acacia ni wezi ndio maana kasema wachunguzwe na migodini pia sio makontena pekee. Sasa mtu yupo kwa payroll angewabana hivi?

4. Lissu anaogopa kurudi kutokana na usalama wake ila ana wafuasi mamilioni tu wanaomuelewa sana kwa hoja zake nzito hasa bungeni kwenye kuichuja miswada mibovu, kwahiyo ww kumchukia hakubadilishi huo ukweli na hta cku akienda CCM atapewa uwaziri wa sheria!!

Mkuu tuache chuki binafsi, inahitaji akili kubwa kumuelewa lissu kwamba unapohitaji kumbana mwizi usimuachie upenyo wa kukutoroka!! But kageuka msaliti!!

Weird
 
Mbona aliponda wakat tumejitoa kwenye mahakama. Ya AFRICA msitufanye wajinga pia lisu kusema tujitoe kule ulikua mtego na tungesubutu angekua amemaliza kazi yake
Aliponda pia mlipojitoa Open Governance initiative inayotaka uwazi wa serikali kwa ajili ya uwajibikaji. Sababu mlikuwa mnaturudisha nyuma kwenye utafutaji haki.

Kuhusu MIGA sio kwamba anaunga mkono tujitoe bali alishauri kma mmeamua kutumia mabavu basi kajitoeni ili msiwe na sehemu ya kuwajibishwa.

Ni sawa na kumwambia malaya kuwa maadam umeamua kujiuza basi katafute kinga? Je hapo utasema ni mtego?
 
Mnapata tabu Sana
Aliponda pia mlipojitoa Open Governance initiative inayotaka uwazi wa serikali kwa ajili ya uwajibikaji. Sababu mlikuwa mnaturudisha nyuma kwenye utafutaji haki.

Kuhusu MIGA sio kwamba anaunga mkono tujitoe bali alishauri kma mmeamua kutumia mabavu basi kajitoeni ili msiwe na sehemu ya kuwajibishwa.

Ni sawa na kumwambia malaya kuwa maadam umeamua kujiuza basi katafute kinga? Je hapo utasema ni mtego?
 
Hivi kwanza tundu lissu anajisikiaje leo hii chama kinavyopukutika japo kua nayeye anaugulia maumivu huko aliko huku hatujui walio msababishia ulemavu
 
Ifike wakati Watanzania tuufute kabisa huu upinzani wa kijinga uliopo nchini kupitia sanduku la kura october 2020, wameshindwa kabisa kufanya kazi yao ya kutoa mawazo mbadala kwa Serikali badala yake wamekuwa mabingwa wa kutukana na kupinga mambo mazuri yanayofanywa na serikali.Duniani pote upinzani makini hushirikiana na Serikali iliyoko madarakani kujenga nchi,haya ya kwetu kazi yao ni kupinga kila kitu,kutukana viongozi,kuzusha vitu vya ajabu ajabu kama anavyofanya zitto kabwe ,kushabikia upumbavu wa mitandaoni kama afanyavyo kigogo na mange kimambi na mbaya zaidi kuiombea nchi mabaya.Kinacho waacha hoi ni pale dua zao mbaya zinavyofeli,Mungu yu pamoja na Watanzania,Mungu yu pamoja na Serikali,Mungu yu pamoja na Mh.Rais wetu John Pombe Magufuli ndio maana licha ya janga la NZIGE kuzikumba na kuziathiri pakubwa nchi za Afrika Mashariki na kati,nzige hao hao hawajatua Tanzania,maajabu hayo.Janga la Covid-19 limetikisa dunia,Mungu ametusikia Watanzania kwa maombi yetu ndio maana tunapeta tu na huu ugonjwa hautakuwa na athari kwetu.Pigo kuu kwa wapinzani wa nchi hii wanaopenda kupinga kila kitu laja na tena hawataamini,october 2020 siyo mbali.

Tuliambiwa kuwa makinikia hayatapelekwa tena nje ya nchi, hivi tunajua ilikuwaje yakapelekwa nje ya nchi?

Je tunajua makontena yaliyopelekwa yalikuwa na thamani gani? Mimi naona hyo ni mapanki tu, minufu ilisha liwa.
 
Ok ilisha liwa na kweli ilikua inaliwa Ila toka magufuli kaingia madarakan habar mnayo mnaugullia moyon
Tuliambiwa kuwa makinikia hayatapelekwa tena nje ya nchi, hivi tunajua ilikuwaje yakapelekwa nje ya nchi?

Je tunajua makontena yaliyopelekwa yalikuwa na thamani gani? Mimi naona hyo ni mapanki tu, minufu ilisha liwa.
 
Ivi chadema kwa upepo huu inaonesha wazi kabisa kua mnaenda kupoteza sijui tundulisu ataish vip ubelgij Mana wazungu wenyewe wamesha mkimbia
 
Back
Top Bottom