Tundu Lissu alivyokuwa anatudanganya kuwa mchanga wa makinikia sio mali yetu ni mali ya wazungu

Wakati CCM mnasaini mikataba yoote ya madini magufuli was in the cabinet, mbona hakuwahi kujiuzulu kwamba nchi inaibiwa??? Kaona alivyokuwa rais kuwa nchi inaibiwa?? Je, kavunja mikataba hiyo ya wizi????
 
Tunaongelea usaliti unaongelea mikataba.
Kajifukize bro dalili za corona hizo...
Huwa zinaharibu ubongo pia
Ujinga wa wana ccm ni pale mnapojisahaulisha kuwa haya yote ya kusema wazungu wanatuibia wakati mnasaini mikataba hiyo na akina Lissu, zitto wanapiga kelele mnawatoa nje ya bunge, nyie si ndo mnatawala?? je, mikataba yoote mibovu si ni ccm mmeisaini?? au ni CHADEMA walisaini hiyo mikataba??? Wajinga nyie
 
Wakati CCM mnasaini mikataba yoote ya madini magufuli was in the cabinet, mbona hakuwahi kujiuzulu kwamba nchi inaibiwa??? Kaona alivyokuwa rais kuwa nchi inaibiwa?? Je, kavunja mikataba hiyo ya wizi????
Hiyo mi hoja nyingine mada hapa ni tundu alivyo tuhadaa watanzania ndio mana anaogopa hata kurudi
 
Shida ni uwasilishaji wa lisu uliegemea upande wa mabeberu na maneno ya dhihaka ambayo hayakuonesha staha kwa anao washauri

1.serkali hii itashindwa tu watatupeka MIGA na tutapigwa tu na tutawalipa wao mapesa. Tundu lisu anandika ,hio haikuwa lugha ya kisheria na ushauri

2.Tukisema ameumbuka tunazungumzia kupata chochote nje ya kile lisu alichotuaminisha kuwa kuwa sisi ndio tutawalipa japo tumepata kidogo yeye alisema sisi ndio tutawalipa wao

3.lisu alianza kuwatumia acacia details za ndani ili aweze kushinda kesi huu ulikuwa ni uasliti kwa taifa na jamii ya wazalendo kama sisi

4.kuundwa kwa TWIGA kama kampuni kutakuwa kumemuuzia lisu na makanjanja wengine kuwa hii inchi ipo katika mikono salama

5kukamatwa kwa Deo na kundi lake pia kulionesha kuwa tuko mapema sana
Du!
 
Moja ya uzi uliotoka kwa mtu ambaye dhahiri ni MPUMBAVU wa kiwango cha Lami.
Lissu alikuwa sahihi, na bado ataendelea kuwa sahihi kwa sababu:
1. Mikataba mibovu ya uwekezaji katika Madini iliyoingiwa na serikali za ccm na Magufuli akiwa mmoja wa wajumbe wa baraza la mawaziri ilisema hata huo mchanga ni mali yao kwa sababu nyie hamna smelter. Mwanasheria huzungumza kilichopo kwenye maandishi tofauti na nyie vilaza mnaozungumza kutoka kwenye Masaburi.
2. Makinikia hadi sasa, licha ya kubadili sheria na kusaini mikataba upya na kina Barrick, bado hamna smelter na hakuna anaeijenga, makubaliano mliyoingia juzi ni utopolo. Nimerudi kulekule, wenye akili wameng'amua kuwa ile iliyokuwa ikiitwa vita, ilikuwa kwa maslahi binafsi na sio kwa manufaa ya umma. Dola 100m zilizolipwa ni sehemu ya dola 300m ambazo zilikuwa kishika uchumba, na sii fedha kwa ajili ya Makinikia au mchanga kwani bei yake, kwa mujibu wa Professorial rubbish za kina Ossoro, tulikuwa tunadai Trillioni 400( Bajeti ya miaka 11 bila kukusanya Kodi wala kupokea misaada)! Viko wapi? Moja ya makubaliano ni pamoja na hayo Makinikia kuachiwa bila masharti, sijui mnachokiringia ni kipi?

3. Tatizo kubwa la wanalumumba wengi ni watu wenye upeo wenye mashaka, hakuna weledi katika maandiko na maneno yenu, ni watu mnaopenda yale yanayowafurahisha tu hata kama ni uongo, zaidi ya yote, vilaza ni wengi huko mlipo, na Tanzania itabadilika siku pakiwa na wenye akili wengi tofauti na sasa.
 
Lisu ni kiazi kama viazi wengine aje atubu tumsamehe
Lissu si kiazi hata kidogo. Ni kwamba wazungu walifika bei wakamnunua akanunulika. Na hao wazungu walitaka atumie ushawishi wake wa kuongea ili ionekane wana haki na kwamba alivyoshawishi huko nyuma kuwa makabikia tunaibiwa alikuwa anakosea. Na kweli akakubali ila akakutana na rais asiyeyumba. Kweli Lissu amejiaibisha
 
Ifike wakati Watanzania tuufute kabisa huu upinzani wa kijinga uliopo nchini kupitia sanduku la kura october 2020, wameshindwa kabisa kufanya kazi yao ya kutoa mawazo mbadala kwa Serikali badala yake wamekuwa mabingwa wa kutukana na kupinga mambo mazuri yanayofanywa na serikali.Duniani pote upinzani makini hushirikiana na Serikali iliyoko madarakani kujenga nchi,haya ya kwetu kazi yao ni kupinga kila kitu,kutukana viongozi,kuzusha vitu vya ajabu ajabu kama anavyofanya zitto kabwe ,kushabikia upumbavu wa mitandaoni kama afanyavyo kigogo na mange kimambi na mbaya zaidi kuiombea nchi mabaya.Kinacho waacha hoi ni pale dua zao mbaya zinavyofeli,Mungu yu pamoja na Watanzania,Mungu yu pamoja na Serikali,Mungu yu pamoja na Mh.Rais wetu John Pombe Magufuli ndio maana licha ya janga la NZIGE kuzikumba na kuziathiri pakubwa nchi za Afrika Mashariki na kati,nzige hao hao hawajatua Tanzania,maajabu hayo.Janga la Covid-19 limetikisa dunia,Mungu ametusikia Watanzania kwa maombi yetu ndio maana tunapeta tu na huu ugonjwa hautakuwa na athari kwetu.Pigo kuu kwa wapinzani wa nchi hii wanaopenda kupinga kila kitu laja na tena hawataamini,october 2020 siyo mbali.
What a takataka? Dunia ipi unayozungumzia? Hii hii ambayo tunaishi au ya hapo Lumumba? Unaonaje tukaifuta ccm kwanza kwa sababu haijawahi kutoka madarakani lakini wananchi wake bado masikini wa kutupwa? Kama serikali imefanya mambo mazuri mnakasirika nini kuambiwa hamna mazuri mliyofanya? Si muoneshe hayo mazuri yawabebe? Kazi ya Wapinzani sii kushirikiana na kulambana makalio, kazi ya upinzani ni kuonesha yote wanavyoona wao, na mtawala ni kuonesha anavyoona yeye, Simba na Yanga hawashirikiani uwanjani, kila mtu kaenda uwanjani kwa lengo la kushinda, ni utopolo na kutafuta huruma kutaka ushirikiano huo unaousema. Itakuwa ni safari ya vipofu, nchi itaingia shimoni. Bila wapinzani nchi hii ingekuwa ya hovyo kuliko sasa. Tatizo ni nyie mnaopenda mtelezo, mnataka ndio kila kitu, huku mnaibiwa trilioni 2.4 hamtaki kujua wala kuulizwa, akitokea wa kuuliza mnasema ANATUKANA, miradi ya Passport za kieletroniki ufisadi, mkiambiwa ooh "ANATUKANA"! Nyie vium e gani?

Mwisho, HAKUNA MWENYE HATI MILIKI NA HII NCHI, NCHI HII NI YA CHAUMA,TLP,CUF, TPP MAENDELEO, ACT, CCJ, CCM, WAPAGANI, WENYE DINI, WALIO HAI, WANAOTARAJIWA KUWA HAI NK. Take care!
 
Moja ya uzi uliotoka kwa mtu ambaye dhahiri ni MPUMBAVU wa kiwango cha Lami.
Lissu alikuwa sahihi, na bado ataendelea kuwa sahihi kwa sababu:
1. Mikataba mibovu ya uwekezaji katika Madini iliyoingiwa na serikali za ccm na Magufuli akiwa mmoja wa wajumbe wa baraza la mawaziri ilisema hata huo mchanga ni mali yao kwa sababu nyie hamna smelter. Mwanasheria huzungumza kilichopo kwenye maandishi tofauti na nyie vilaza mnaozungumza kutoka kwenye Masaburi.
2. Makinikia hadi sasa, licha ya kubadili sheria na kusaini mikataba upya na kina Barrick, bado hamna smelter na hakuna anaeijenga, makubaliano mliyoingia juzi ni utopolo. Nimerudi kulekule, wenye akili wameng'amua kuwa ile iliyokuwa ikiitwa vita, ilikuwa kwa maslahi binafsi na sio kwa manufaa ya umma. Dola 100m zilizolipwa ni sehemu ya dola 300m ambazo zilikuwa kishika uchumba, na sii fedha kwa ajili ya Makinikia au mchanga kwani bei yake, kwa mujibu wa Professorial rubbish za kina Ossoro, tulikuwa tunadai Trillioni 400( Bajeti ya miaka 11 bila kukusanya Kodi wala kupokea misaada)! Viko wapi? Moja ya makubaliano ni pamoja na hayo Makinikia kuachiwa bila masharti, sijui mnachokiringia ni kipi?

3. Tatizo kubwa la wanalumumba wengi ni watu wenye upeo wenye mashaka, hakuna weledi katika maandiko na maneno yenu, ni watu mnaopenda yale yanayowafurahisha tu hata kama ni uongo, zaidi ya yote, vilaza ni wengi huko mlipo, na Tanzania itabadilika siku pakiwa na wenye akili wengi tofauti na sasa.
Utakua na mtindio wa ubongo ww swali jingine majibu mengine
 
Yes alikua sahihi kuwatetea mabeberu sis wote tunajua
Moja ya uzi uliotoka kwa mtu ambaye dhahiri ni MPUMBAVU wa kiwango cha Lami.
Lissu alikuwa sahihi, na bado ataendelea kuwa sahihi kwa sababu:
1. Mikataba mibovu ya uwekezaji katika Madini iliyoingiwa na serikali za ccm na Magufuli akiwa mmoja wa wajumbe wa baraza la mawaziri ilisema hata huo mchanga ni mali yao kwa sababu nyie hamna smelter. Mwanasheria huzungumza kilichopo kwenye maandishi tofauti na nyie vilaza mnaozungumza kutoka kwenye Masaburi.
2. Makinikia hadi sasa, licha ya kubadili sheria na kusaini mikataba upya na kina Barrick, bado hamna smelter na hakuna anaeijenga, makubaliano mliyoingia juzi ni utopolo. Nimerudi kulekule, wenye akili wameng'amua kuwa ile iliyokuwa ikiitwa vita, ilikuwa kwa maslahi binafsi na sio kwa manufaa ya umma. Dola 100m zilizolipwa ni sehemu ya dola 300m ambazo zilikuwa kishika uchumba, na sii fedha kwa ajili ya Makinikia au mchanga kwani bei yake, kwa mujibu wa Professorial rubbish za kina Ossoro, tulikuwa tunadai Trillioni 400( Bajeti ya miaka 11 bila kukusanya Kodi wala kupokea misaada)! Viko wapi? Moja ya makubaliano ni pamoja na hayo Makinikia kuachiwa bila masharti, sijui mnachokiringia ni kipi?

3. Tatizo kubwa la wanalumumba wengi ni watu wenye upeo wenye mashaka, hakuna weledi katika maandiko na maneno yenu, ni watu mnaopenda yale yanayowafurahisha tu hata kama ni uongo, zaidi ya yote, vilaza ni wengi huko mlipo, na Tanzania itabadilika siku pakiwa na wenye akili wengi tofauti na sasa.
 
Yes alikua sahihi kuwatetea mabeberu sis wote tunajua
Alikuwa sahihi kuwafungua akili zenu muone kuwa mikataba iliyoingiwa na serikali ambayo jiwe alikuwemo ilikuwa mikataba ya hovyo kuliko ya kina Mangungo. Hakuna alietetewa, hao Mabeberu hawaitaji utetezi kwa kitu kilicho wazi kwenye maandishi.

Halafu mbaya zaidi mnawaita Mabeberu pale tu anapokuwa na tofauti nanyi ila Thornton alipokuja mkamwita Mwanaume. Na kweli, maana kawafix tena vizuri sana!
 
Najua una tatizo la lishe na kwashiakoo! Afya yako haikuruhusu kung'amua haya. Pambana na Hali yako, sii kosa langu wewe kuwa na minyoo hadi kwenye ubongo!
Tena mtindio wako mbaya sana na pia katika uchunguzi wa kina utakua na fangaz kwenye makalio namaana unawashwa
 
Back
Top Bottom