Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Aha ha hahaha
King Kinya amemkosea kidogo kumchora kichwani, maana jamaa anapenda kunyoa 'Panki'
TLS, anaongea kwa kupitia majukwaa ya kisiasa kisha anajitetea kupitia TLS mahakamani.
King Kinya......actually ilo ni pozi la kutafuta kiki.Kuchora katuni ni kipaji, ndo maana akina Gado wako juu.. Huyu naona amechorwa na mleta mada, hafananii hata kidogo huyo mleta mada anaemtaja kufanania..
Hivi chadema mna sera ya ndoa za jinsia moja? yaani mimi nimuoe Tundu.Wakudadavua unajitongozesha tu kwa Tundu Lissu huna lolote hapo Lumumba wameshakukinai
Hivi chadema mna sera ya ndoa za jinsia moja? yaani mimi nimuoe Tundu.