Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,982
- 14,749
Tundu Lissu alisha wahi kuwa mmoja wa Mawakili wa Serikali katika shauri la la City Water kwenye Mahakama ya Kimataifa nchini Uholanzi ambayo inashughulikia usuluhishi wa mgogoro unaotokana na kukatishwa kwa Mkataba wa City Water
Kabla ya kukatishwa mkataba, City Water walisha kwisha sababisha hasara ya Dola 12.5 Milion, hivyo kuthibitisha onyo lililotolewa na Bank ya Dunia mapema juu ya uwezo duni wa kampuni hizo........
Kabla ya kukatishwa mkataba, City Water walisha kwisha sababisha hasara ya Dola 12.5 Milion, hivyo kuthibitisha onyo lililotolewa na Bank ya Dunia mapema juu ya uwezo duni wa kampuni hizo........