Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Siku moja au mbili kabila ya kurejea nchini,Lissu alihojiwa na chombo kimoja cha habari kuhusu swala zima la uchaguzi na iwapo uchaguzi itakuwa huru na wa haki.
Nakumbuka Lissu alijibu kwa kusema:Issue sio uchaguzi huru na wa haki, kwani hilo halitaraji, bali issue ni je,tutaendelea na maisha na tutakuwa hai baada ya uchaguzi?
Nakumbuka hayo ndio yalikuwa maneno yake ingawa naweza nikawa sijamnukuu kwa sahihi kwa maana ya neno kwa neno.
Nimeamini hutu mtu kiona mbali kwani kwa haya yanayoebdelea,ni wazi huko mbeleni kuna hatari inatukabili.
Nikiipata hiyo clip nitaoweka, ila nakumbuka nilipandisha uzi bila kutaja maneno hayo ya Lissu ila leo nimeona niyaseme tu.
Uzi husika ni huu hapa chini:
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu kaongea jambo moja ambalo kila mtu anapaswa kulitafakari na kujiuliza kama ambavyo yeye anajiuliza
Clip ni hii:
Nakumbuka Lissu alijibu kwa kusema:Issue sio uchaguzi huru na wa haki, kwani hilo halitaraji, bali issue ni je,tutaendelea na maisha na tutakuwa hai baada ya uchaguzi?
Nakumbuka hayo ndio yalikuwa maneno yake ingawa naweza nikawa sijamnukuu kwa sahihi kwa maana ya neno kwa neno.
Nimeamini hutu mtu kiona mbali kwani kwa haya yanayoebdelea,ni wazi huko mbeleni kuna hatari inatukabili.
Nikiipata hiyo clip nitaoweka, ila nakumbuka nilipandisha uzi bila kutaja maneno hayo ya Lissu ila leo nimeona niyaseme tu.
Uzi husika ni huu hapa chini:
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu kaongea jambo moja ambalo kila mtu anapaswa kulitafakari na kujiuliza kama ambavyo yeye anajiuliza
Clip ni hii: