MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Habari za weekend wanajukwaa wane!
Labda tu nijaribu kuwadaidia wakurupukaji hasa wanaCCM ambao kimsingi ndio wanaompinga na kuendelea kumkejeli Mh Tundu Lisdu.Wengine huenda mbali na kutoa vitisho zaidi.
Tulisoma kitabu kimoja cha Ibrahimu alipokua mdogo, kuna siku alienda kufyeka masanamu ya baba zake ambayo yalikua ndio Miungu yao na kisha kubakisha sanamu moja Mkubwa na kuliwekea shoka alilotumia kukatakata wengine begani,walipomuuliza kwani amefanya hivi?
Yeye akajibu kwa jeuri kua wamuulize huyo mmoja aliyemwacha maana ndio mungu wao . Wale wazee walikasurika na kukoka moto Mkubwa wa tanuru na kisha kimtumbukiza ndani, mtokeo yake waliona Ibrahim akitoka mzima kwenye tanu hilo. Kuna sauti ilisikika ikisema "MOTO KUA SALAMA NA BARIDI JUU YA IBRAHIM".
Wtesaji wa Lissu watambue kua kupona kwa lissu ni Mungu, wasijidanganye kwa nguvu za kidunia. Muujiza wa Lissu kupona ni nguvu ya kimungu.
Pia watambue yafuatayo kuhusu Lissu;
1.Utamshtaki kwa lipi mahakamani Mh Lissu? Kwa kosa lipi kisheria alilotenda?
Kusema kua anawashuku watu flani ni kosa? Kushuku ni kosa?
Kwa mahakamani kumshinda Lissu sio rahisi, wanaotegemea kua ataishia jela wanajidanganya. Lissu sio mhaini kwa sababu makosa ya uhaini kisheria na kikatiba yanajulikana na yapo wazi.
2.Chama chake kwa sasa kitajikita kumpatia ilinzi wa kutosha na kumpatia watu wazoefu,serikali pia itawajibika kumpatia ulinzi wa kutosha kutokana na yaliyompata. Pia ni haki yake kikatiba kua na ulinzi wake binafsi akiona inafaa. Kwa hali hiyo sio rahisi hivyo kufikika na watesaji wake kama kipindi cha awali ambacho hakua na ulinzi wowote.
Kwahiyo watu kama kina Musiba na genge lake wasidhani Lissu amekua ni mjinga kiasi hicho, yupo salama kabisa kurudi nyumbani. Vitisho vyao ni vya nyau kumtisha panya.
Labda tu nijaribu kuwadaidia wakurupukaji hasa wanaCCM ambao kimsingi ndio wanaompinga na kuendelea kumkejeli Mh Tundu Lisdu.Wengine huenda mbali na kutoa vitisho zaidi.
Tulisoma kitabu kimoja cha Ibrahimu alipokua mdogo, kuna siku alienda kufyeka masanamu ya baba zake ambayo yalikua ndio Miungu yao na kisha kubakisha sanamu moja Mkubwa na kuliwekea shoka alilotumia kukatakata wengine begani,walipomuuliza kwani amefanya hivi?
Yeye akajibu kwa jeuri kua wamuulize huyo mmoja aliyemwacha maana ndio mungu wao . Wale wazee walikasurika na kukoka moto Mkubwa wa tanuru na kisha kimtumbukiza ndani, mtokeo yake waliona Ibrahim akitoka mzima kwenye tanu hilo. Kuna sauti ilisikika ikisema "MOTO KUA SALAMA NA BARIDI JUU YA IBRAHIM".
Wtesaji wa Lissu watambue kua kupona kwa lissu ni Mungu, wasijidanganye kwa nguvu za kidunia. Muujiza wa Lissu kupona ni nguvu ya kimungu.
Pia watambue yafuatayo kuhusu Lissu;
1.Utamshtaki kwa lipi mahakamani Mh Lissu? Kwa kosa lipi kisheria alilotenda?
Kusema kua anawashuku watu flani ni kosa? Kushuku ni kosa?
Kwa mahakamani kumshinda Lissu sio rahisi, wanaotegemea kua ataishia jela wanajidanganya. Lissu sio mhaini kwa sababu makosa ya uhaini kisheria na kikatiba yanajulikana na yapo wazi.
2.Chama chake kwa sasa kitajikita kumpatia ilinzi wa kutosha na kumpatia watu wazoefu,serikali pia itawajibika kumpatia ulinzi wa kutosha kutokana na yaliyompata. Pia ni haki yake kikatiba kua na ulinzi wake binafsi akiona inafaa. Kwa hali hiyo sio rahisi hivyo kufikika na watesaji wake kama kipindi cha awali ambacho hakua na ulinzi wowote.
Kwahiyo watu kama kina Musiba na genge lake wasidhani Lissu amekua ni mjinga kiasi hicho, yupo salama kabisa kurudi nyumbani. Vitisho vyao ni vya nyau kumtisha panya.