Tundu Lissu akataa Hard Talk ya Stephen Sackur tarehe 1 June,2019.

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Baada ya mahojiano ya mara ya kwanza kumwendea mrama na kuacha maswali mengi imebainika kuwa Tundu Lissu angerejea mwezi Juni mwaka 2019, ili kujadili kwa kirefu sekta ya madini na sheria ya madini ya Tanzania ambayo Tundu Lissu alisema yeye ndiye anajua na alipigania miaka mingi na zaidi akamhakikishia Sackur kuwa serikali ya Tanzania haina chake kwani Barrick watashinda.

Kama kawaida,Sackur alivutiwa na kauli za Lissu zilozojaa ramli na majigambo dhidi ya Tanzania,hivyo alijikita kupata taarifa na maendeleo ya sakata hilo kwenye soko la hisa London na Canada.Hivyo basi,Tundu Lissu alikumbushwa kuhusu mwaliko kwenye mjadala huo wa "Hard Talk" uliopangwa kufanyika mnamo tarehe 1.6.2019, licha ya kuwa atakuwa Uingereza kakataa kushiriki huku akituhumu kuwa mjadala huo unatumika "kumhujumu".

Kadri wakati unavyokwenda mambo yanakuwa dhahiri.
 
Ndugu zangu,

Baada ya mahojiano ya mara ya kwanza kumwendea mrama na kuacha maswali mengi imebainika kuwa Tundu Lissu angerejea mwezi Juni mwaka 2019, ili kujadili kwa kirefu sekta ya madini na sheria ya madini ya Tanzania ambayo Tundu Lissu alisema yeye ndiye anajua na alipigania miaka mingi na zaidi akamhakikishia Sackur kuwa serikali ya Tanzania haina chake kwani Barrick watashinda.

Kama kawaida,Sackur alivutiwa na kauli za Lissu zilozojaa ramli na majigambo dhidi ya Tanzania,hivyo alijikita kupata taarifa na maendeleo ya sakata hilo kwenye soko la hisa London na Canada.Hivyo basi,Tundu Lissu alikumbushwa kuhusu mwaliko kwenye mjadala huo wa "Hard Talk" uliopangwa kufanyika mnamo tarehe 1.6.2019, licha ya kuwa atakuwa Uingereza kakataa kushiriki huku akituhumu kuwa mjadala huo unatumika "kumhujumu".

Kadri wakati unavyokwenda mambo yanakuwa dhahiri.


Lissu ni sawa sawa na Zitto tu na sasa anamkaribia Membe kwa kuwa mwehu. Jamaa alivuta hela ndefu sana za wawekezaji wa migodi, yeye na kibaraka mwenzake Zitto.
 
Leo nipo kanisani ngoja binti hata huyo raisi wenu kashindwa kumtuma hata kabudi ku jinalako hizo logic matter ya condition hiyo
 
Ndugu zangu,

Baada ya mahojiano ya mara ya kwanza kumwendea mrama na kuacha maswali mengi imebainika kuwa Tundu Lissu angerejea mwezi Juni mwaka 2019, ili kujadili kwa kirefu sekta ya madini na sheria ya madini ya Tanzania ambayo Tundu Lissu alisema yeye ndiye anajua na alipigania miaka mingi na zaidi akamhakikishia Sackur kuwa serikali ya Tanzania haina chake kwani Barrick watashinda.

Kama kawaida,Sackur alivutiwa na kauli za Lissu zilozojaa ramli na majigambo dhidi ya Tanzania,hivyo alijikita kupata taarifa na maendeleo ya sakata hilo kwenye soko la hisa London na Canada.Hivyo basi,Tundu Lissu alikumbushwa kuhusu mwaliko kwenye mjadala huo wa "Hard Talk" uliopangwa kufanyika mnamo tarehe 1.6.2019, licha ya kuwa atakuwa Uingereza kakataa kushiriki huku akituhumu kuwa mjadala huo unatumika "kumhujumu".

Kadri wakati unavyokwenda mambo yanakuwa dhahiri.
Kumbe na nyie mnakiri Ni Lissu tu nchi hii anayeweza kukaa Hard Talk? Mpelekeni "Mpigapicha".
Kama amekataa ni dalili nzuri kuwa sasa ameanza kupona.
Mambo ya kuenda kutuaibisha MAKAMANDA kuhusu mambo ya USHOGA hatutaki tena.
 
Ndugu zangu,

Baada ya mahojiano ya mara ya kwanza kumwendea mrama na kuacha maswali mengi imebainika kuwa Tundu Lissu angerejea mwezi Juni mwaka 2019, ili kujadili kwa kirefu sekta ya madini na sheria ya madini ya Tanzania ambayo Tundu Lissu alisema yeye ndiye anajua na alipigania miaka mingi na zaidi akamhakikishia Sackur kuwa serikali ya Tanzania haina chake kwani Barrick watashinda.

Kama kawaida,Sackur alivutiwa na kauli za Lissu zilozojaa ramli na majigambo dhidi ya Tanzania,hivyo alijikita kupata taarifa na maendeleo ya sakata hilo kwenye soko la hisa London na Canada.Hivyo basi,Tundu Lissu alikumbushwa kuhusu mwaliko kwenye mjadala huo wa "Hard Talk" uliopangwa kufanyika mnamo tarehe 1.6.2019, licha ya kuwa atakuwa Uingereza kakataa kushiriki huku akituhumu kuwa mjadala huo unatumika "kumhujumu".

Kadri wakati unavyokwenda mambo yanakuwa dhahiri.
Msaliti huyo,na safari hii steven suckur alikua anamuumbua ile mbaya
 
Back
Top Bottom