joseph kanje
New Member
- Jul 15, 2017
- 3
- 2
Hili halinishangazi kutokana na maelezo ya RPC wa Dodoma.
Kama sikosei, RPC alisema sijapata maelekezo ya kukumata lakini hakusema Jeshi la Polisi(Jeshi la Polisi Tanzania) halina mpango wa kukumata.Kauli hii mimi niliichukua kwa tahadhri kubwa sana.
Kingine ni kuwa bila shaka walishajua leo atasafiri hivyo waliona haina haja ya kumtoa Dodoma kumleta Dar kwa gharama za serikali wakati atakuja Dar mwenyewe.
No wonder jana jioni Lissu ali-tweet:
"Life of hunted Man!".
Ni wazi nae alijua anawindwa.
All in all,ujumbe wa Lissu kwa watanzania haufutika kwa kumtia ndani bali ndio utazidi kushika kasi na kusambaa ndani na nje ya nchi.
Lissu wanamjenga na umaarufu wake sasa unavuka mipaka ya nchi hii.
Hili halinishangazi kutokana na maelezo ya RPC wa Dodoma.
Kama sikosei, RPC alisema sijapata maelekezo ya kukumata lakini hakusema Jeshi la Polisi(Jeshi la Polisi Tanzania) halina mpango wa kukumata.Kauli hii mimi niliichukua kwa tahadhri kubwa sana.
Kingine ni kuwa bila shaka walishajua leo atasafiri hivyo waliona haina haja ya kumtoa Dodoma kumleta Dar kwa gharama za serikali wakati atakuja Dar mwenyewe.
No wonder jana jioni Lissu ali-tweet:
"Life of hunted Man!".
Ni wazi nae alijua anawindwa.
All in all,ujumbe wa Lissu kwa watanzania haufutika kwa kumtia ndani bali ndio utazidi kushika kasi na kusambaa ndani na nje ya nchi.
Lissu wanamjenga na umaarufu wake sasa unavuka mipaka ya nchi hii.
Lazima alale, muulize yule wa Arusha. Mpaka sasa huwa yupo kimya. Na huyu mnafiki lazima akomeshwe kabisa ili liwe fundisho. Na mjue he will never gain anything kwa sababu ajenda zake kwa sasa zinajulikana anatumika na wazungu.Kesho tu yupo nje na majukumu yake ukijua sheria raha sana
Umefikiria sana,ukifatilia hiyo movie hutoshangaa kwa haya mamboI said it a couple of days ago. Watamkamata Alhamisi na ataibukia Mahakamani on Monday. Tyrant's moves are so deterministic
we na yeye nani analia??? usikalili akili za lumumba changanya na za kwako...Lissu kiazi kweli. kulialia kama mtoto mdogo. Moto kauanzisha yeye mwenyewe alafu anpiga kelele za nini