BimaYaAfya
Member
- Nov 10, 2018
- 69
- 101
Amejiaibisha yeye sio Nchi/Taifa lake,.Hajitambui kwani hata madhaifu yake kwa mkewe atakwenda kuyaeleza kwa majirani ili asaidiwe.Muambieni nyie wapiga bede wake msiojielewa kama yeye eti mnashangilia anayoyasema badala ya kujisikitikia,au ndio Urais unatafutwa kwa njia hiyo?
Mnafikiri kujisema mapungufu yenu nje mtabadilishwa uraia?Huyu mtu kashambuliwa nchini mwake,akaamua kwenda nje kutibiwa ni vizuri,lakini je?kupita kila mahali kujiieleza anahisi ni sifa au kujifedhehesha?Apone aanze rasmi kampeni zake za Urais salama hakuna anayemkataza.
Mtu gani anautaka urais halafu anaogopa Taifa lake na kujiaibisha nje,Urais huo ni kuwaongoza watu au wanyama au vipi?
Azidi tu kujieleza,Urais ataupata kwa kujiaibisha na kutoa madhaifu yake nje ya Taifa lake
Mnafikiri kujisema mapungufu yenu nje mtabadilishwa uraia?Huyu mtu kashambuliwa nchini mwake,akaamua kwenda nje kutibiwa ni vizuri,lakini je?kupita kila mahali kujiieleza anahisi ni sifa au kujifedhehesha?Apone aanze rasmi kampeni zake za Urais salama hakuna anayemkataza.
Mtu gani anautaka urais halafu anaogopa Taifa lake na kujiaibisha nje,Urais huo ni kuwaongoza watu au wanyama au vipi?
Azidi tu kujieleza,Urais ataupata kwa kujiaibisha na kutoa madhaifu yake nje ya Taifa lake